Tag: polisi
- by T L
- March 22nd, 2022
Bodaboda walia polisi jijini bado wanawadhulumu
NA JOSEPH NDUNDA MSAKO unaoendelea kuwaondoa wahudumu wa bodaboda katikati ya jiji la Nairobi unasemekana kugeuzwa kuwa kitega uchumi...
- by T L
- March 18th, 2022
Polisi ashtakiwa kushindwa kulipia pombe aliyobugia
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa polisi ameshtakiwa kushindwa kulipa pombe aliyobugia na sigara alizofuta. Perminus Nderitu alikabiliwa na...
- by T L
- December 9th, 2021
Mauaji: Polisi waashiria kukata rufaa
Na PHILIP MUYANGA MAAFISA watatu wa polisi na mwenzao aliyestaafu ambao walipatwa na hatia ya kumuua Muingereza Alexander Monson katika...
- by T L
- December 8th, 2021
Polisi aua 7 akiwemo mkewe kabla kujiua
DANIEL OGETA, MARY WANGARI na BENSON MATHEKA SERIKALI imesukuma maafisa wa polisi kuzama katika mfadhaiko na mzongo wa mawazo na...
- by T L
- November 25th, 2021
TAHARIRI: Polisi waangalie upya mishahara ya maafisa wao
KITENGO cha UHARIRI IDARA ya polisi ni kikosi ambacho hutarajiwa kuwa na nidhamu. Maafisa wa polisi, sawa na wanajeshi na wengine wa...
- by T L
- November 24th, 2021
Polisi walia mishahara yao kupunguzwa
MARY WAMBUI na CHARLES WANYORO MAAFISA wa polisi wapatao 1,000 wanapanga kushtaki Huduma za Polisi nchini na tume yake kulalamikia...
- by T L
- November 12th, 2021
Polisi wapokea mafunzo jinsi ya kukabili ufisadi
Na TITUS OMINDE TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Kaskazini mwa Rift Valley, imetoa mafunzo kwa zaidi ya maafisa 20 wakuu...
Natembeya awatimua maafisa wa usalama
NA RICHARD MAOSI MRATIBU wa Bonde la Ufa George Natembeya amewapiga kalamu maafisa kadhaa wa usalama kutoka Nakuru Kaskazini kwa kile...
BENSON MATHEKA: Ripoti ya Kriegler itekelezwe kusaidia polisi humu nchini
Na BENSON MATHEKA VISA vya maafisa wa polisi kuua wenzao, kujiua na kuua familia zao vinaonyesha kwamba kuna tatizo kubwa ndani ya...
Vitengo vinne vikuu kuwakabili polisi watendao maovu
Na MARY WAMBUI ASASI nne kuu serikalini sasa zitakuwa zikichunguza mauaji na ukiukaji wa haki za kibinadamu unaotekelezwa na polisi...
Polisi ahepa kazi Mombasa kufukuzia penzi la mama waliyekutana mtandaoni
Na MWANGI MUIRURI POLISI mjini Maragua katika Kaunti ya Murang’a wanachunguza kisa ambapo afisa wa polisi anadaiwa alisafiri kutoka...
Maamuzi tofauti ya korti yaibua utata kesi ya polisi
Na BRIAN WASUNA MAAFISA wa polisi wanaopinga kufutwa kazi kwao miaka kadhaa iliyopita walipofeli zoezi la ukaguzi kuhusu maadili,...