Tag: raga
- by T L
- November 7th, 2022
Shujaa yatiwa kundi la kifo Dubai Sevens
Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa imetiwa katika kundi ngumu la Raga za Dunia duru ya Dubai Sevens ambalo liko na miamba Australia, Afrika...
- by T L
- January 28th, 2022
Kibarua sugu chasubiri Shujaa ikielekea mawindoni Seville 7s
NA GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga Shujaa iko tayari kupigania matokeo mazuri kwenye duru ya nne ya Raga za Dunia mjini Seville,...
- by T L
- December 20th, 2021
Raga: Kabras, Oilers juu ligi ikienda Krisi
GEOFFREY ANENE na TITUS MAERO WANASUKARI wa Kabras Sugar na Menengai Oilers walifunga mwaka katika nafasi mbili za kwanza kwa alama 20...
- by T L
- December 4th, 2021
Shujaa yapigwa na Great Britain kumaliza raga ya Dubai 7s katika nafasi ya sita
Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa imekamilisha duru ya pili ya Raga za Dunia za msimu 2021-2022 katika nafasi ya sita jijini Dubai nchini...
- by T L
- October 30th, 2021
Macho yote kwa Shujaa,Morans Safari 7s ikianza
Na GEOFFREY ANENE WENYEJI Kenya watakuwa mawindoni wakidiriki kuanza vyema mashindano ya kimataifa ya raga ya wachezaji saba kila upande...
Kabras na KCB watinga fainali ya raga ya Kenya Cup baada ya kuzima Strathmore na Menengai
Na GEOFFREY ANENE KABRAS Sugar imepiga Strathmore Leos 36-19 nayo KCB ikalima Menengai Oilers 35-17 katika mechi za nusu-fainali za Ligi...
Shujaa yafunzwa umuhimu wa utimamu wa kiakili nao Lionesses wakianza mazoezi ya Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya wanaume maarufu kama Shujaa, mnamo Alhamisi ilichukua mapumziko...
Ana matumaini tele kushiriki katika raga ya hadhi akifuata nyayo za Collins Injera
Na PATRICK KILAVUKA MCHEZO wa raga hauhitaji tu usuli na nguvu bali unahitaji ujuzi na mazoezi si haba kuhimili makali yake. Hii ni...
Wanaraga wa Machine wazidia nguvu Egerton Wasps
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya raga ya Chuo Kikuu cha Nairobi almaarufu Mean Machine imelipua Egerton Wasps ya Chuo Kikuu cha Egerton 37-0...
KRU yasema vikosi viko tayari kwa Ligi Kuu ya Kenya Cup
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) litaanza kutoa msaada wa fedha kwa vikosi vya Ligi Kuu ya Kenya wiki hii kwa nia ya...
Homeboyz wakiri ni pigo kwao kupoteza wanaraga wanne
AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE Klabu ya raga ya Homeboyz huenda imetikiswa na kuondoka kwa wachezaji wanne na kukosa kurejea kwa kocha,...
Shujaa waalikwa kucheza Uhispania na Ufaransa kabla ya msimu ujao wa Raga ya Dunia
Na CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya wanaraga saba kila upande almaarufu Shujaa, imepata mwaliko wa kucheza nchini Uhispania na Ufaransa...