Tag: referenda
‘Uhuru na Raila wanataka kura ya maamuzi upesi’
Na MWANGI MUIRURI MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge Kuhusu Haki na Masuala ya Sheria (JLAC) Muturi Kigano amedai kuwa Rais Uhuru Kenyatta na...
- by adminleo
- July 21st, 2020
ODM yajiandaa kupinga refarenda kufanywa 2022
Na SAMWEL OWINO CHAMA cha ODM kimepanga mikakati kuzuia uwezekano wa bunge kupitisha hoja ambayo itapelekea kura ya maamuzi kufanywa...
- by adminleo
- June 2nd, 2020
Refarenda yaja
Na BENSON MATHEKA Mabadiliko ya katiba nchini hayawezi kuepukika iwapo Wakenya wanataka kutimiza malengo ya waanzilishi wa taifa hili,...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Sheria ya refarenda yaandaliwa
NA DAVID MWERE DALILI ya kuandaliwa kwa kura ya maamuzi zinazidi kudhihirika baada ya wabunge kuanza mchakato wa kuunda mswada ambao...
- by adminleo
- July 28th, 2019
JAMVI: ‘Punguza Mizigo’ kugonganisha madiwani na vigogo wa vyama
Na PETER MBURU NAIBU Rais William Ruto ameonyesha ishara za wazi kuwa ndiye atakuwa mpinzani mkuu wa wito wowote wa kuandaliwa kwa kura...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
‘Punguza Mizigo’ yagawanya wanasiasa
Na WAANDISHI WETU MSWADA wa kurekebisha katiba unaotarajiwa kuwasilishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa mabunge ya...
- by adminleo
- July 18th, 2019
TAHARIRI: Kaunti zizingatie ‘Punguza Mzigo’
NA MHARIRI KUKAMILIKA kwa ukaguzi wa saini zilizowasilishwa na mwanasiasa Ekuru Aukot kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), sasa...
- by adminleo
- July 18th, 2019
Madiwani kuamua iwapo referenda itafanyika
WANDERI KAMAU na CHARLES WASONGA UAMUZI wa iwapo referenda ya 'Punguza Mzigo' itafanyika, sasa iko mikononi mwa madiwani katika kaunti...
- by adminleo
- June 18th, 2019
‘Referenda yafaa kujali maslahi ya wananchi, si matakwa ya viongozi walafi’
Na DERICK LUVEGA KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi ametofautiana na wabunge wa ODM kuhusu wito wa kutaka...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Viongozi wa ODM waasi Raila kuhusu suala la referenda
Na RUSHDIE OUDIA na LEONARD ONYANGO BAADHI ya viongozi wa ODM wameenda kinyume na kinara wao Raila Odinga kuhusu pendekezo lake la...
- by adminleo
- December 14th, 2018
Referenda yaja, Uhuru adokezea Wakenya
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta Alhamisi alidokeza kuunga mkono marekebisho ya Katiba ili kuwe na nafasi zaidi za uongozi...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Sina tamaa ya kuendelea kuwa mamlakani baada ya 2022 – Uhuru
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta ameondolea wasiwasi viongozi wanaoshuku kuna mipango ya kumwezesha kuendelea kuongoza baada ya...