• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Kocha Ronald Koeman kunoa tena timu ya taifa ya Uholanzi baada ya fainali za Kombe la Dunia za 2022 nchini Qatar

Na MASHIRIKA KOCHA Ronald Koeman atakuwa mkufunzi wa timu ya taifa ya Uholanzi kwa mara ya pili baada ya kukamilika kwa fainali za Kombe...

Kocha Ronald Koeman kuendelea kudhibiti mikoba ya Barcelona

Na MASHIRIKA RONALD Koeman ataendelea kuwa kocha wa kikosi cha Barcelona kinachoshiriki Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga). Haya ni kwa...

Dalili kocha Ronald Koeman atapigwa kalamu na Barcelona mwishoni mwa msimu huu

Na MASHIRIKA KOCHA Ronald Koeman amedai kwamba haheshimiwi na vyombo vya habari pamoja na vinara wa bodi ya Barcelona huku tetesi kuhusu...

Celta Vigo yazamisha matumaini finyu ya Barcelona kutawazwa mabingwa wa La Liga muhula huu

Na MASHIRIKA KOCHA Ronald Koeman wa Barcelona anatarajia kwamba fowadi na nahodha Lionel Messi hajasakata mchuano wake wa mwisho...

Kocha Koeman atoa orodha ya wachezaji sita anaotaka Barcelona wasajili mwishoni mwa msimu huu

Na MASHIRIKA BARCELONA wamefichua orodha ya wanasoka sita ambao kocha Ronald Koeman amewapendekezea kusajili mwishoni mwa msimu huu. Huku...

Barcelona kusajili wanasoka saba wapya baada ya kocha Koeman kupata kibali cha rais mpya Joan Laporta

Na MASHIRIKA KOCHA Ronald Koeman amefichua mipango ya kusajili wanasoka saba wakiwemo Memphis Depay, Erling Haaland, Romelu Lukaku,...

Barcelona wacharaza Elche na kupaa hadi nafasi ya tatu kwenye jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA KIUNGO mkabaji wa Barcelona, Frenkie de Jong alifunga bao na kuchangia jingine katika ushindi wa 2-0 uliosajiliwa na...

Barcelona wamwajiri kocha Koeman kuwa mrithi wa Setien

Na CHRIS ADUNGO RONALD Koeman amepokezwa mikoba ya Barcelona siku mbili baada ya miamba hao wa soka ya Uhispania kumtimua mkufunzi Quique...

Barcelona kuajiri Koeman kujaza nafasi ya kocha Setien

Na CHRIS ADUNGO BARCELONA wamemfuta kazi kocha Quique Setien siku tatu baada ya miamba hao wa Uhispania kudhalilishwa kwa kichapo cha...