• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:55 PM

Pigo kwa Man-City beki tegemeo Ruben Dias akitarajiwa kusalia mkekani kwa wiki sita zijazo

Na MASHIRIKA BEKI matata wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Ruben Dias, 24, sasa atasalia nje kwa takriban wiki sita kutokana...

DIMBA: Ruby: Beki mtulivu akiwa na boli na mkali wa kupangua wapinzani

Na GEOFFREY ANENE RUBEN dos Santos Gato Alves Dias ni mmoja wa wachezaji matata wanaotarajiwa kung’ara katika Ligi Kuu ya Uingereza...

Nani mkali? Kevin De Bruyne, Harry Kane na Ruben Dias kati ya wawaniaji wa taji la Mchezaji Bora wa Msimu wa 2020-21

Na MASHIRIKA MASOGORA Kevin De Bruyne na Ruben Dias wa Manchester City ni miongoni mwa wanasoka ambao wameteuliwa kuwania taji la...

FWA yamtawaza beki Ruben Dias wa Manchester City Mchezaji Bora wa Mwaka 2020-21

Na MASHIRIKA BEKI Ruben Dias wa Manchester City ametawazwa Mchezaji Bora wa Mwaka 2020-21 kwa upande wa wanaume kwenye tuzo zilizotolewa...

Man-City wacharaza West Ham United na kuanza kunusia taji la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliendeleza ubabe wao katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa kuwapepeta West Ham United 2-1 katika mchuano...

Ureno yazamisha chombo cha Croatia

Na MASHIRIKA BEKI Ruben Dias wa Manchester City alifunga mabao mawili na kusaidia Ureno kupepeta Croatia 3-2 katika mechi ya UEFA...