• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 8:50 AM

Hedimasta ndani miaka 9 kwa kumeza hongo ya Sh10,000

Na Stephen Muthini MKUU wa Shule ya Sekondari katika Kaunti ya Machakos amehukumiwa jela miaka tisa kwa kuomba na kupokea rushwa ya...

Afisi ya DPP yachunguzwa kwa ulaji rushwa

Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji amekiri kuwa uchunguzi unaendeshwa katika afisi yake kuhusiana na...

Wakazi wafunzwa mbinu mpya ya ‘kumulika hongo’

PETER MBURU na MERCY KOSKEY VIONGOZI wa usalama waliungana na maafisa wa Tume ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) kaunti ya Nakuru...