Tag: ruto
Raila na Ruto wataifaa Kenya?
Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga hawana uwezo wa kuboresha maisha ya Wakenya iwapo yeyote kati...
Ruto hajakomaa kisiasa, asubiri 2027 – Atwoli
JUMA NAMLOLA na PATRICK LANG’AT KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (Cotu), Bw Francis Atwoli amemtaka Naibu Rais William...
Mfano mbaya!
BENSON MATHEKA Na RUTH MBULA VIONGOZI wakuu nchini Alhamisi waliendelea kuwa mfano mbaya kwa kuvunja sheria na kupuuza kanuni za kuzuia...
Vukeni sakafu tumenyane, Ruto aambia mawaziri
Na JUSTUS OCHIENG NAIBU Rais William Ruto amewataka mawaziri wanaomkosoa kujiuzulu ili waingie ulingo wa siasa apambane nao ikiwa...
Wandani wa Ruto sasa wamuonya Murathe
SHABAN MAKOKHA na CHARLES WASONGA WANDANI wa Naibu Rais William Ruto wamemwonya Naibu Mwenyekiti wa Jubilee David Murathe dhidi ya...
BBI: Vigogo sasa waelekeza zana zao makanisani
Na WANDERI KAMAU VIGOGO wa kisiasa nchini sasa wameanza kukimbilia makanisani kutafuta uungwaji mkono kwenye misimamo yao kinzani kuhusu...
Wandani wa Ruto waapa kupinga mabadiliko IEBC
Na ONYANGO K’ONYANGO WANDANI wa Naibu Rais William Ruto sasa wanadai hatua ya serikali kukosa kujaza nafasi nne za makamishina wa Tume...
Ruto aongoza wimbo akirejea kanisani kwa kishindo
Na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto Jumapili alirejea kanisani kwa kishindo, baada ya karibu miezi sita tangu virusi vya corona...
Washirika wa Ruto wakata tamaa kumnasa Mudavadi
Na SHABAN MAKOKHA UTATA kuhusu ni nani atayakekuwa mgombea-mwenza wa mwenzake kati ya Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ANC,...
JAMVI: Ruto achora taswira mpya?
Na MWANGI MUIRURI HATUA ya Naibu Rais Dkt William Ruto ya kuzindua misururu ya kukosoa utawala wa Jubilee 'kuipa darasa' kuhusu utawala...
Sababu 11 Ruto hatajiuzulu
Na BENSON MATHEKA WALIVALIA shati na tai zinazofanana ungedhani ni sare za Ikulu. Wakakagua miradi ya maendeleo pamoja na hata wakati...
Wanasiasa wa mrengo wa Ruto wasema wana mkakati wa kumzamisha Raila
Na MWANGI MUIRURI 'MAJENERALI wa nyanjani' wa kumpigia debe Naibu Rais Dkt William Ruto katika ukanda wa Mlima Kenya sasa wanasema...