• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 7:50 AM

Vigogo wa Ruto kichinjioni

Na MWANGI MUIRURI HARAKATI za kuwaondoa wandani wa Naibu Rais William Ruto katika nyadhifa mbalimbali bungeni zinatarajiwa kufikia...

Mikakati anayohitaji Mudavadi kukabili papa na nyangumi wanaotawala bahari ya siasa

Na WANDERI KAMAU HUKU wanasiasa wakiendelea kusuka karata kuhusu mbinu watakazotumia kuibuka washindi kwenye uchaguzi mkuu wa 2022,...

Ford-Kenya, ANC kuanza mikutano ya Ruto magharibi

Na BENSON AMADALA VYAMA vya Amani National Congress (ANC) na Ford-Kenya vimepanga msururu wa mikutano kuanzia leo na wandani wa Naibu...

Hatuko pamoja!

Na MWANGI MUIRURI WANDANI wa Naibu Rais William Ruto, wamefichua kuwa wanajiandaa kuendeleza mikakati ya kumpigia debe licha ya...

Ruto ajinadi kwa miradi Uhuru akikwama Ikulu

Na VALENTINE OBARA NAIBU Rais William Ruto kwa wiki moja sasa ameonekana kuanza kujitokeza tena kuendeleza mtindo wa kupokea makundi ya...

Ruto aendea baraka za 2022 kwa wazee

NA MWANDISHI WETU Naibu Rais Dkt William Ruto aliongoza kundi la viongozi wa Jubilee kutoka Bonde la Ufa katika mkutano uliohusisha...

Uhuru alivyomtoa Ruto pumzi

BENSON MATHEKA Na WANDERI KAMAU AMRI ya Rais Uhuru Kenyatta ya kuweka ofisi ya Naibu Rais chini ya ofisi yake ni mbinu ya kumpokonya Dkt...

Nashangazwa na Ruto kusalia kimya wandani wake wakizimwa – Echesa

NA IBRAHIM ORUKO SHOKA la chama tawala cha Jubilee bungeni limezua hisia kali katika wandani wa Naibu Rais William Ruto eneo la...

Wandani wa Ruto njia panda

CHARLES WASONGA,  IBRAHIM ORUKO NA WANDERI KAMAU SIKU chache baada ya Naibu Rais William Ruto kuonekana hadharani na Rais Uhuru...

Nitakwama na Ruto hata mkinipokonya cheo – Washiali

MBUNGE wa Mumias Mashariki Benjamin Washiali, amekiambia chama cha Jubilee kimuondoe kutoka kwa wadhifa wa Kiranja wa Wengi katika Bunge la...

Wandani wa Ruto wamiminika kwa Mudavadi

Na BENSON MATHEKA IDADI ya wandani wa Naibu Rais William Ruto wanaomtembelea kiongozi wa Chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia...

Ruto na Ichung’wa wakana kuwapa wakazi wa Kiambu chakula hatari

NA SIMON CIURI Utata umeibuka kuhusu aliyetoa chakula cha msaada kilichopewa wakazi wa kaunti ya Kiambu Jumatatu ikidaiwa chakula hicho...