• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:55 PM

Shinikizo Ruto na Gideon Moi waungane

VALENTINE OBARA na FLORAH KOECH VIONGOZI katika ukanda wa Bonde la Ufa wamewataka Naibu Rais Dkt William Ruto na Seneta wa Baringo...

Wachuuzi wa ahadi hewa

Na WAANDISHI WETU WANASIASA nchini sasa wameanza kutoa ahadi za kila aina kwa wananchi ili kuwanasa kwenye ndoano zao huku uchaguzi mkuu...

Ruto akubaliana na Raila kuwa kaulimbiu ya ‘hasla’ haifai kuharamishwa

Na CHARLES WASONGA KWA mara ya kwanza baada ya kipindi kirefu Naibu Rais William Ruto ameonekana kukubaliana na hasidi wake wa kisiasa...

Huenda wandani wa Ruto Kisii wakamtoroka hivi karibuni

Na RUTH MBULA WABUNGE kadhaa ambao wamekuwa wakimuunga mkono Naibu Rais William Ruto, wameashiria uwezekano wao kumhepa wakati wa...

Raila amtetea Ruto

Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga amewataka wabunge kutupilia mbali mswada unaolenga kuharamisha matumizi ya kaulimbiu...

Mazishi yageuka rungu la kuchapa Ruto

WYCLIFFE NYABERI na WANDERI KAMAU MAZISHI ya waziri wa zamani, Bw Simeon Nyachae, Jumatatu yaligeuka kuwa uwanja wanasiasa kumponda...

Ruto awafokea waliopeleka bandari kavu Naivasha

Na MOHAMED AHMED NAIBU Rais William Ruto, amedai mradi wa usafirishaji mizigo kupitia reli ya SGR ulitekwa na matapeli ndipo biashara za...

Nina saini za wabunge 126 kumtimua Ruto – Savula

Na BENSON MATHEKA MIPANGO ya kumuondoa ofisini Naibu Rais William Ruto inayoshinikizwa na chama cha Amani National Congress (ANC),...

Wewe si ‘hasla’, ulikuwa karibu na Mzee Moi hata kuliko Gideon Moi, Kalonzo amwambia Ruto

Na SAMMY WAWERU Kiongozi wa chama cha Wiper Bw Kalonzo Musyoka amemsuta Naibu wa Rais William Ruto kuhusu kauli yake ya...

Raila ajiondolea lawama Ruto kutengwa katika serikali ya Jubilee

Na SAMMY WAWERU Kiongozi wa ODM Raila Odinga amejiondolea lawama kwamba amechangia Naibu wa Rais William Ruto kutengwa katika utawala wa...

Ruto alia ‘mahasla’ wanamfyonza

Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto sasa analalamika kuwa wapigakura wanatumia ukarimu wake kujinufaisha wanapotaka maendeleo,...

Sina haja kulipwa deni 2022 – Ruto

Na WYCLIFFE NYABERI NAIBU Rais William Ruto, sasa amesema hana haja kulipwa deni la kisiasa na mtu yeyote. Mwishoni mwa wiki, Rais...