• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:55 AM

SHANGAZI AKUJIBU: Mke ananikosesha amani kwa kuwachukia wanangu

Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina umri wa miaka 59. Nilikuwa nimeoa lakini mke wangu aliaga dunia na kuniacha na watoto wetu wanne....

SHANGAZI AKUJIBU: Bosi ananitaka nami sitaki ila nahofia kufutwa

Na SHANGAZI HABARI zako shangazi? Nina umri wa miaka 22 na niliajiriwa mapema mwaka huu. Bosi wangu anataka tuwe wapenzi na yuko tayari...

SHANGAZI AKUJIBU: Ninashuku anamgawia mpenziwe wa zamani

Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Nina mpenzi na huu ndio mwaka wa pili wa uhusiano wetu. Nimekuwa nikimuona na vitu vya bei ghali, yakiwemo...

SHANGAZI AKUJIBU: Nimegundua mke wangu alitoroka kwa mumewe!

Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina mke ambaye nilimuoa mwaka uliopita. Tulipokutana aliniambia kuwa alikuwa na mpenzi na wakaachana....

SHANGAZI AKUJIBU: Namtamani huyu binti lakini nasubiri anitongoze

Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nina umri wa miaka 20 na kuna mwanamke ambaye amenasa hisia zangu. Amenizidi umri kwa miaka kadhaa na hiyo...

SHANGAZI AKUJIBU: Nilikuta kidosho kwake, akaniambia ni dadake

Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 22 na nimekuwa na mpenzi kwa mwaka mmoja sasa. Juzi nilimtembelea nyumbani kwake na...

SHANGAZI AKUJIBU: Nahisi hana haja tuoane ilhali anadai kunipenda

Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nimekuwa na mpenzi kwa miaka mitatu sasa na ninampenda sana naye pia amekuwa akisema ananipenda. Hata hivyo,...

SHANGAZI AKUJIBU: Natamani mume ila naogopa sana kuolewa tena

Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 30 na nina mtoto mmoja. Nilikuwa nimeolewa lakini nikamuacha mume wangu baada ya...

SHANGAZI AKUJIBU: Alikuwa na nia gani kuniambia tukapimwe?

Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina umri wa miaka 32 na nina uhusiano na mwanamume ambaye ameoa. Tumekuwa pamoja kwa miaka miwili sasa....

SHANGAZI AKUJIBU: Wazazi wametisha kunilaani nikiolewa na wasiyemtaka

Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 32 na nina uhusiano wa kimapenzi na mwanamume fulani hata tumezaa mtoto pamoja....

SHANGAZI AKUJIBU: Vya chumbani napewa tu yeye anapokuwa na njaa

Na SHANGAZI HABARI zako shangazi? Nina mke na tumejaliwa watoto wawili. Tatizo ni kwamba mke wangu hunipakulia vya chumbani yeye...

SHANGAZI AKUJIBU: Nilijaribu kumuomba asali sasa hata simu hapokei!

Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nilikuwa na mpenzi na tulikuwa tumekubaliana kuwa tutaoana. Siku moja nilimuomba asali lakini akakataa...