Tag: shangazi akujibu
- by adminleo
- October 23rd, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Mke ananikosesha amani kwa kuwachukia wanangu
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina umri wa miaka 59. Nilikuwa nimeoa lakini mke wangu aliaga dunia na kuniacha na watoto wetu wanne....
- by adminleo
- October 21st, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Bosi ananitaka nami sitaki ila nahofia kufutwa
Na SHANGAZI HABARI zako shangazi? Nina umri wa miaka 22 na niliajiriwa mapema mwaka huu. Bosi wangu anataka tuwe wapenzi na yuko tayari...
- by adminleo
- October 19th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Ninashuku anamgawia mpenziwe wa zamani
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Nina mpenzi na huu ndio mwaka wa pili wa uhusiano wetu. Nimekuwa nikimuona na vitu vya bei ghali, yakiwemo...
- by adminleo
- October 15th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nimegundua mke wangu alitoroka kwa mumewe!
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina mke ambaye nilimuoa mwaka uliopita. Tulipokutana aliniambia kuwa alikuwa na mpenzi na wakaachana....
- by adminleo
- October 14th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Namtamani huyu binti lakini nasubiri anitongoze
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nina umri wa miaka 20 na kuna mwanamke ambaye amenasa hisia zangu. Amenizidi umri kwa miaka kadhaa na hiyo...
- by adminleo
- October 11th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nilikuta kidosho kwake, akaniambia ni dadake
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 22 na nimekuwa na mpenzi kwa mwaka mmoja sasa. Juzi nilimtembelea nyumbani kwake na...
- by adminleo
- October 11th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nahisi hana haja tuoane ilhali anadai kunipenda
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nimekuwa na mpenzi kwa miaka mitatu sasa na ninampenda sana naye pia amekuwa akisema ananipenda. Hata hivyo,...
- by adminleo
- October 10th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Natamani mume ila naogopa sana kuolewa tena
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 30 na nina mtoto mmoja. Nilikuwa nimeolewa lakini nikamuacha mume wangu baada ya...
- by adminleo
- October 8th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Alikuwa na nia gani kuniambia tukapimwe?
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina umri wa miaka 32 na nina uhusiano na mwanamume ambaye ameoa. Tumekuwa pamoja kwa miaka miwili sasa....
- by adminleo
- October 7th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Wazazi wametisha kunilaani nikiolewa na wasiyemtaka
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 32 na nina uhusiano wa kimapenzi na mwanamume fulani hata tumezaa mtoto pamoja....
- by adminleo
- October 4th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Vya chumbani napewa tu yeye anapokuwa na njaa
Na SHANGAZI HABARI zako shangazi? Nina mke na tumejaliwa watoto wawili. Tatizo ni kwamba mke wangu hunipakulia vya chumbani yeye...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nilijaribu kumuomba asali sasa hata simu hapokei!
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nilikuwa na mpenzi na tulikuwa tumekubaliana kuwa tutaoana. Siku moja nilimuomba asali lakini akakataa...