Tag: sharon otieno
‘Jinsi Sharon alivyosafirishwa kuuawa’
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu ilifahamishwa Alhamisi kuwa aliyekuwa msaidizi wa Gavana wa Migori Okoth Obado, aliwabeba kwa gari,...
Mbegu zilizotolewa kwa Sharon si za Obado, washukiwa
Na RICHARD MUNGUTI SAMPULI za shahawa zilizotolewa kwa mwili wa Sharon Otieno siku aliyouawa hazikuwa za Gavana wa Migori Okoth Obado...
Korti yaonyeshwa video ya mwili wa Sharon, kesi dhidi ya Obado ikianza
Na RICHARD MUNGUTI KESI ya mauaji dhidi ya Gavana wa Migori Okoth Obado na watu wengine wawili ilianza kusikilizwa Jumatatu, huku...
Kesi ya mauaji ya Sharon kuanza rasmi, DPP asema
Na RUTH MBULA AFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) hatimaye imetoa tarehe ya kusikilizwa kwa kesi ya mauaji ya Bi Sharon...
Familia ya Sharon yataka haki itendeke
By Ruth Mbula Miaka miwili sasa imepita tangu aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Rongo Sharon Otieno kuuawa kinyama na kutupwa...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Washukiwa wa mauaji ya Sharon wataka Jaji Lesiit aondolewe kwa kesi
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wawili wanaoshtakiwa pamoja na Gavana Okoth Obado kwa mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa chuo kikuu Sharon...
- by adminleo
- October 19th, 2018
PICHA: Simanzi na vilio Sharon Otieno akizikwa
NA RUTH MBULA WINGU la simanzi, lilitanda Alhamisi mwili wa Sharon Otieno, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Rongo aliyeuawa mwezi mmoja na...
- by adminleo
- October 15th, 2018
Familia ya Sharon yakejeli wanaodai mazishi yatagharimu Sh2.7 milioni
Na MWANDISHI WETU KAMATI inayoandaa mazishi ya Bi Sharon Otieno, ambaye alikuwa mpenzi wa Gavana wa Migori, Bw Okoth Obado, imewalaumu...
- by adminleo
- October 4th, 2018
Familia ya Sharon yahitaji Sh1.3m kugharamia mazishi
Na RUTH MBULA FAMILIA ya marehemu Sharon Otieno, ambaye alikuwa mpenzi mjamzito wa Gavana wa Migori Okoth Obado, inahitaji angalau Sh1.3...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Sikumuua Sharon, Obado aambia mahakama
Na RICHARD MUNGUTI BAADA ya siku nyingi za sintofahamu, hatimaye Gavana wa Migori Bw Zachariah Okoth Obado (pichani) alishtakiwa kwa...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Wafuasi wa Obado sasa waandamana wakitaka aachiliwe huru
Na WAANDISHI WETU WAFUASI wa Gavana wa Migori, Bw Okoth Obado Jumapili waliandamana katika barabara kuu ya Migori-Kisii kutaka aachiliwe...
- by adminleo
- September 12th, 2018
Mtoto wa marehemu Sharon kuzikwa Alhamisi
Na RUTH MBULA FAMILIA ya mwanafunzi Sharon Otieno aliyeuawa kikatili, imesema kuwa itamzika mtoto wake ambaye hakuwa amezaliwa Alhamisi,...