• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:55 PM

‘Jinsi Sharon alivyosafirishwa kuuawa’

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu ilifahamishwa Alhamisi kuwa aliyekuwa msaidizi wa Gavana wa Migori Okoth Obado, aliwabeba kwa gari,...

Mbegu zilizotolewa kwa Sharon si za Obado, washukiwa

Na RICHARD MUNGUTI SAMPULI za shahawa zilizotolewa kwa mwili wa Sharon Otieno siku aliyouawa hazikuwa za Gavana wa Migori Okoth Obado...

Korti yaonyeshwa video ya mwili wa Sharon, kesi dhidi ya Obado ikianza

Na RICHARD MUNGUTI KESI ya mauaji dhidi ya Gavana wa Migori Okoth Obado na watu wengine wawili ilianza kusikilizwa Jumatatu, huku...

Kesi ya mauaji ya Sharon kuanza rasmi, DPP asema

Na RUTH MBULA AFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) hatimaye imetoa tarehe ya kusikilizwa kwa kesi ya mauaji ya Bi Sharon...

Familia ya Sharon yataka haki itendeke

By Ruth Mbula Miaka miwili sasa imepita tangu aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Rongo Sharon Otieno kuuawa kinyama na kutupwa...

Washukiwa wa mauaji ya Sharon wataka Jaji Lesiit aondolewe kwa kesi

Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wawili wanaoshtakiwa pamoja na Gavana Okoth Obado kwa mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa chuo kikuu Sharon...

PICHA: Simanzi na vilio Sharon Otieno akizikwa

NA RUTH MBULA WINGU la simanzi, lilitanda Alhamisi mwili wa Sharon Otieno, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Rongo aliyeuawa mwezi mmoja na...

Familia ya Sharon yakejeli wanaodai mazishi yatagharimu Sh2.7 milioni

Na MWANDISHI WETU KAMATI inayoandaa mazishi ya Bi Sharon Otieno, ambaye alikuwa mpenzi wa Gavana wa Migori, Bw Okoth Obado, imewalaumu...

Familia ya Sharon yahitaji Sh1.3m kugharamia mazishi

Na RUTH MBULA FAMILIA ya marehemu Sharon Otieno, ambaye alikuwa mpenzi mjamzito wa Gavana wa Migori Okoth Obado, inahitaji angalau Sh1.3...

Sikumuua Sharon, Obado aambia mahakama

Na RICHARD MUNGUTI BAADA ya siku nyingi za sintofahamu, hatimaye Gavana wa Migori Bw Zachariah Okoth Obado (pichani) alishtakiwa kwa...

Wafuasi wa Obado sasa waandamana wakitaka aachiliwe huru

Na WAANDISHI WETU WAFUASI wa Gavana wa Migori, Bw Okoth Obado Jumapili waliandamana katika barabara kuu ya Migori-Kisii kutaka aachiliwe...

Mtoto wa marehemu Sharon kuzikwa Alhamisi

Na RUTH MBULA FAMILIA ya mwanafunzi Sharon Otieno aliyeuawa kikatili, imesema kuwa itamzika mtoto wake ambaye hakuwa amezaliwa Alhamisi,...