• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Simba aua mbuzi na kondoo katika vijiji kadhaa Lamu

Na KALUME KAZUNGU TAHARUKI imetanda kwenye vijiji vya Tewe, Swabaha, Lake Amu na Baharini, tarafa ya Mpeketoni, Kaunti ya Lamu baada ya...

Idadi ya simba yapungua – IUCN

Na WINNIE ATIENO HUENDA simba wakatoweka kabisa ikiwa hatua madhubuti hazitachukuliwa, Shirika la Uhifadhi wa Wanyamapori ulimwenguni...

Kahata asherehekea timu yake ya Simba ikiibuka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania

Na GEOFFREY ANENE KIUNGO Mkenya Francis Kahata alishinda Ligi Kuu Bara katika msimu wake wa kwanza na Simba SC baada ya timu hiyo...

Duma na simba waambukizwa virusi vya corona na binadamu

Na MASHIRIKA na CHARLES WASONGA DUMA wanne na simba wawili, maarufu kimombo kama, African lions, wamepatika na virusi vya corona katika...

Simba waliolemewa na njaa wapata ufadhili wa chakula

Na AFP KHARTOUM, Sudan MSAADA wa nyama unazidi kumiminika katika hifadhi ya wanyamapori nchini Sudan inayokabiliwa na uhaba wa hela...

Mwanamume amnyonga simba hadi kufa

MASHIRIKA Na PETER MBURU MAAFISA wa sekta ya uhifadhi wa wanyama pori wamesema kuwa mwanamume kutoka eneo la kaskazini mwa Colorado,...

Ajabu ya ng’ombe kuua simba zizini

Na MWANDISHI WETU SIMBA ambaye amekuwa akiua mifugo wa wenyeji karibu na Mbunga ya Kitaifa ya Meru aliuawa na ng’ombe Alhamisi usiku...