• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

MARION MAPENZI: Naipenda sana Barca, lengo ni kucheza soka ya kulipwa ughaibuni

NA ABDULRAHMAN SHERIFF KILA mwanasoka wa pande zetu huku Kenya, Afrika Mashariki na sehemu nyingine zote barani Afrika huwa wanapenda...

Kiungo wa Santos Soccer aonyesha dalili za kuwa staa wa maana

Na PATRICK KILAVUKA KIUNGO Nancy Nafula,19, mwanafunzi wa Kidato cha Tatu Shule ya Upili ya Dagoretti Mixed, Gatina, Kawangware na wa...

MTG United yaiadhibu Limuru Starlets 4-0

Na Maureen Ongala [email protected] VIPUSA wa timu ya kandanda ya MTG United jana waliwazaba wageni Limuru Starlets magoli...

Wanasoka chipukizi wafaidika kwa Sh16milioni baada ya kung’aa uwanjani

NA JOHN ASHIHUNDU Wanasoka chipukizi 120 wasiozidi umri wa miaka 20 wamechaguliwa kujiunga na kituo cha kunoa vipaji cha Barasa...

KENNEDY OSORE: Soka inavyokuza maadili katika jamii

NA PATRICK KILAVUKA Ni vyema mja kupanda mbegu ambayo itazaa kwa vizazi hadi vizazi. Huo ni ushauri na ushawishi uliomsukuma kocha...

Young Elephant yaicharaza Arizen

Na JOHN KIMWERE YOUNG Elephant FC imelaza Arizen Soccer Academy kwa mabao 7-0 na kuendelea kutembeza vipigo dhidi ya wapinzani wao...

Soy United iilivyojikaza kuingia Supa Ligi

Na JOHN KIMWERE SOY United imepandishwa ngazi kushiriki kipute cha Betika Supa Ligi ya Taifa (BNSL) muhula huu baada ya kulaza Mulis...

Safari ya Kinyago United hadi ubingwa wa Odi Bet mtaani

Na JOHN KIMWERE  KINYAGO United imedhihirishia mahasimu wao Biafra FC ingali moto wa kuotea moto baada ya kuwanyoroshwa na kubeba...

LILA NYOKABI: Serikali isaidie kuinua vipaji kutoka familia maskini

NA JOHN KIMWERE Ni kati ya wasanii chipukizi wanaojiwekea matamanio ya kutinga upeo wa kimataifa miaka ijayo. Lila Esther Nyokabi ni...

Uwanja wa Kamukunji kukarabatiwa baada ya Wenyeji United kutawazwa mabingwa

Na JOHN KIMWERE WANASOKA wa Wenyeji United wametawazwa mabingwa wa taji la Kamukunji Cup kwenye mashindano yaliyoandaliwa katika Uwanja...

Raha kwa Bundes FC kuwanyamazisha Gogo Boys

Na JOHN KIMWERE LICHA ya tishio la mlipuko wa virusi vya corona uliochangia shughuli za michezp kupigwa stopu vijana wengi wanazidi...

Sunderland Samba walivyotwaa ubingwa

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Sunderland Samba ilibeba taji la Slum Champion na kuonyesha kwamba imepania mkuu kwenye kampeni za...