Tag: soka
MARION MAPENZI: Naipenda sana Barca, lengo ni kucheza soka ya kulipwa ughaibuni
NA ABDULRAHMAN SHERIFF KILA mwanasoka wa pande zetu huku Kenya, Afrika Mashariki na sehemu nyingine zote barani Afrika huwa wanapenda...
Kiungo wa Santos Soccer aonyesha dalili za kuwa staa wa maana
Na PATRICK KILAVUKA KIUNGO Nancy Nafula,19, mwanafunzi wa Kidato cha Tatu Shule ya Upili ya Dagoretti Mixed, Gatina, Kawangware na wa...
MTG United yaiadhibu Limuru Starlets 4-0
Na Maureen Ongala [email protected] VIPUSA wa timu ya kandanda ya MTG United jana waliwazaba wageni Limuru Starlets magoli...
Wanasoka chipukizi wafaidika kwa Sh16milioni baada ya kung’aa uwanjani
NA JOHN ASHIHUNDU Wanasoka chipukizi 120 wasiozidi umri wa miaka 20 wamechaguliwa kujiunga na kituo cha kunoa vipaji cha Barasa...
KENNEDY OSORE: Soka inavyokuza maadili katika jamii
NA PATRICK KILAVUKA Ni vyema mja kupanda mbegu ambayo itazaa kwa vizazi hadi vizazi. Huo ni ushauri na ushawishi uliomsukuma kocha...
Young Elephant yaicharaza Arizen
Na JOHN KIMWERE YOUNG Elephant FC imelaza Arizen Soccer Academy kwa mabao 7-0 na kuendelea kutembeza vipigo dhidi ya wapinzani wao...
Soy United iilivyojikaza kuingia Supa Ligi
Na JOHN KIMWERE SOY United imepandishwa ngazi kushiriki kipute cha Betika Supa Ligi ya Taifa (BNSL) muhula huu baada ya kulaza Mulis...
Safari ya Kinyago United hadi ubingwa wa Odi Bet mtaani
Na JOHN KIMWERE KINYAGO United imedhihirishia mahasimu wao Biafra FC ingali moto wa kuotea moto baada ya kuwanyoroshwa na kubeba...
LILA NYOKABI: Serikali isaidie kuinua vipaji kutoka familia maskini
NA JOHN KIMWERE Ni kati ya wasanii chipukizi wanaojiwekea matamanio ya kutinga upeo wa kimataifa miaka ijayo. Lila Esther Nyokabi ni...
Uwanja wa Kamukunji kukarabatiwa baada ya Wenyeji United kutawazwa mabingwa
Na JOHN KIMWERE WANASOKA wa Wenyeji United wametawazwa mabingwa wa taji la Kamukunji Cup kwenye mashindano yaliyoandaliwa katika Uwanja...
Raha kwa Bundes FC kuwanyamazisha Gogo Boys
Na JOHN KIMWERE LICHA ya tishio la mlipuko wa virusi vya corona uliochangia shughuli za michezp kupigwa stopu vijana wengi wanazidi...
Sunderland Samba walivyotwaa ubingwa
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Sunderland Samba ilibeba taji la Slum Champion na kuonyesha kwamba imepania mkuu kwenye kampeni za...