• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 11:55 AM

Corona ilivyosambaratisha soka ya mitaani

NA JOHN KIMWERE MKURUPUKO wa virusi vya corona unaendelea kuzuia shughuli za maisha kote duniani ikiwamo michezo. Wadau wa mchezo...

Rware FC yaamini kuteleza sio kuanguka

Na JOHN KIMWERE LICHA ya kutofanya vizuri kwenye michuano ya Kundi C Ligi ya Taifa Daraja la Pili msimu huu klabu ya Rware FC inaamini...

Wanasoka wa KPL kupokea Sh10,000 kila mmoja kila mwezi kutoka kwa serikali kipindi hiki kigumu

Na CHRIS ADUNGO WAZIRI wa Michezo, Amina Mohamed, amethibitisha kwamba wachezaji wa Ligi Kuu ya Soka ya Kenya (KPL) watakuwa wakipokezwa...

SOKA: RSM yatafuta chipukizi wenye vipaji na kufanikisha majaribio na klabu mbalimbali za barani Ulaya

Na ABDULRAHMAN SHERIFF KAMPUNI ya Regional Sports Management (RSM) iliyoko Abu Dhabi huko Arabuni imepania kuhakikisha wachezaji...

PAUL THIONG’O: Amewahi kutuzwa zawadi maalum na Zinedine Zidane

Na ABDULRAHMAN SHERIFF AMEKUWA nchini Italia kwa kipindi cha miaka 11 na hivi sasa ana hamu sana ya kuwa miongoni mwa wachezaji...

Mwatate United FC yafurahia udhamini kutoka kwa Teita Estate Limited

Na ABDULRAHMAN SHERIFF IMEBAHATIKA kumpata mdhamini ambaye ameihami timu kwa kipindi cha miaka michache na sasa lengo la kufikia lengo...

Alenga kuisaidia Coast Stima ishiriki kipute cha KPL

Na ABDULRAHMAN SHERIFF KILA mchezaji wa soka huwa na hamu afikie kiwango cha kuchezea Ligi Kuu ya nchi yake pamoja na timu yake ya...

Chama cha maslahi ya wanasoka chataka majadiliano kabla mishahara kupunguzwa

Na CHRIS ADUNGO CHAMA cha Maslahi ya Wanasoka Nchini (KEFWA) kimewataka vinara wa klabu za Ligi Kuu ya Kenya (KPL) kushauriana vilivyo...

Corona kuvuruga kalenda ya soka ya kimataifa kwa hadi miaka mitatu

Na CHRIS ADUNGO COVID-19 huenda ikaathiri kalenda ya soka ya kimataifa kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu. Haya ni kwa mujibu wa...

Thika Allstars, Spitfire, PCEA Kikuyu zasubiri kukabana

NA JOHN KIMWERE KAMPENI za kufukuzia taji la Ligi ya Taifa Daraja la Pili ni kati ya vipute vilivyoshuhudia kivumbi kikali kwenye mechi...

Kibera Black Stars waweka malengo mapya

Na CHRIS ADUNGO KIBERA Black Stars wameapa kufuzu kwa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) katika kipindi cha misimu miwili ijayo. Kikosi hicho...

Sharp Boys wajiandaa kwa msimu ujao

Na JOHN KIMWERE SHARP Boys kwa mara ya kwanza imeshinda taji la Top 8 kwa timu zilizoshiriki Ligi ya KYSD msimu wa 2019/2020 kwa...