Tag: soka
- by adminleo
- June 4th, 2020
Corona ilivyosambaratisha soka ya mitaani
NA JOHN KIMWERE MKURUPUKO wa virusi vya corona unaendelea kuzuia shughuli za maisha kote duniani ikiwamo michezo. Wadau wa mchezo...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Rware FC yaamini kuteleza sio kuanguka
Na JOHN KIMWERE LICHA ya kutofanya vizuri kwenye michuano ya Kundi C Ligi ya Taifa Daraja la Pili msimu huu klabu ya Rware FC inaamini...
- by adminleo
- May 27th, 2020
Wanasoka wa KPL kupokea Sh10,000 kila mmoja kila mwezi kutoka kwa serikali kipindi hiki kigumu
Na CHRIS ADUNGO WAZIRI wa Michezo, Amina Mohamed, amethibitisha kwamba wachezaji wa Ligi Kuu ya Soka ya Kenya (KPL) watakuwa wakipokezwa...
- by adminleo
- May 21st, 2020
SOKA: RSM yatafuta chipukizi wenye vipaji na kufanikisha majaribio na klabu mbalimbali za barani Ulaya
Na ABDULRAHMAN SHERIFF KAMPUNI ya Regional Sports Management (RSM) iliyoko Abu Dhabi huko Arabuni imepania kuhakikisha wachezaji...
- by adminleo
- May 14th, 2020
PAUL THIONG’O: Amewahi kutuzwa zawadi maalum na Zinedine Zidane
Na ABDULRAHMAN SHERIFF AMEKUWA nchini Italia kwa kipindi cha miaka 11 na hivi sasa ana hamu sana ya kuwa miongoni mwa wachezaji...
- by adminleo
- May 11th, 2020
Mwatate United FC yafurahia udhamini kutoka kwa Teita Estate Limited
Na ABDULRAHMAN SHERIFF IMEBAHATIKA kumpata mdhamini ambaye ameihami timu kwa kipindi cha miaka michache na sasa lengo la kufikia lengo...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Alenga kuisaidia Coast Stima ishiriki kipute cha KPL
Na ABDULRAHMAN SHERIFF KILA mchezaji wa soka huwa na hamu afikie kiwango cha kuchezea Ligi Kuu ya nchi yake pamoja na timu yake ya...
- by adminleo
- May 5th, 2020
Chama cha maslahi ya wanasoka chataka majadiliano kabla mishahara kupunguzwa
Na CHRIS ADUNGO CHAMA cha Maslahi ya Wanasoka Nchini (KEFWA) kimewataka vinara wa klabu za Ligi Kuu ya Kenya (KPL) kushauriana vilivyo...
- by adminleo
- May 4th, 2020
Corona kuvuruga kalenda ya soka ya kimataifa kwa hadi miaka mitatu
Na CHRIS ADUNGO COVID-19 huenda ikaathiri kalenda ya soka ya kimataifa kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu. Haya ni kwa mujibu wa...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Thika Allstars, Spitfire, PCEA Kikuyu zasubiri kukabana
NA JOHN KIMWERE KAMPENI za kufukuzia taji la Ligi ya Taifa Daraja la Pili ni kati ya vipute vilivyoshuhudia kivumbi kikali kwenye mechi...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Kibera Black Stars waweka malengo mapya
Na CHRIS ADUNGO KIBERA Black Stars wameapa kufuzu kwa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) katika kipindi cha misimu miwili ijayo. Kikosi hicho...
- by adminleo
- April 20th, 2020
Sharp Boys wajiandaa kwa msimu ujao
Na JOHN KIMWERE SHARP Boys kwa mara ya kwanza imeshinda taji la Top 8 kwa timu zilizoshiriki Ligi ya KYSD msimu wa 2019/2020 kwa...