Tag: sonko
- by adminleo
- March 5th, 2020
Igathe njiani kwa cheo chake cha naibu gavana?
NA JOSEPH WANGUI UTATA wa uongozi ambao umekumba Kaunti ya Nairobi kwa muda mrefu sasa umechukua mwelekeo mpya baada ya Tume Huru ya...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
Mahakama yasitisha hoja ya kumtimua Sonko
Na RICHARD MUNGUTI HATUA ya bunge la kaunti ya Nairobi ya kumtimua mamlakani Gavana Mike Sonko imepigwa breki Jumatatu na mahakama...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
MCAs wa ODM kukutana kujadili hatima ya Sonko
Na COLLINS OMULO MADIWANI wa Chama cha ODM katika Kaunti ya Nairobi wamepanga kukutana kujadili kama wataunga mkono kutimuliwa kwa...
- by adminleo
- February 29th, 2020
Uhuru akutana na madiwani wa Nairobi kujadili utoaji huduma
COLLINS OMULO na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta amekutana na madiwani wote wa Chama cha Jubilee (JP) katika Kaunti ya Nairobi katika Ikulu...
- by adminleo
- February 27th, 2020
Sonko hajaponyoka
VALENTINE OBARA na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Nairobi Mike Sonko hajaponyoka masaibu tele yanayomwandama licha ya kuikabidhi serikali ya...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Sanamu za Sonko zaharibiwa jijini
Na MARY WANGARI WAKAZI wa kaunti ya Nairobi jana walishangaa kupata sanamu za simba zilizowekwa na Gavana Mike Sonko katika kiingilio...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Utwaaji wa serikali ya Nairobi huenda usilete nafuu
Na BENSON MATHEKA HATUA ya serikali ya kitaifa ya kutwaa majukumu muhimu ya serikali ya kaunti ya Nairobi huenda isilete mabadiliko...
- by adminleo
- February 25th, 2020
Sonko amkabidhi Uhuru usimamizi wa Nairobi
Na WAANDISHI WETU GAVANA Mike Sonko wa Nairobi Jumanne alikabidhi usimamizi wa huduma za jiji kwa serikali kuu. Kwa mujibu wa Msemaji...
- by adminleo
- February 23rd, 2020
Sonko atimua kaimu katibu
Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi anayekabiliwa na kesi kortini, Mike Sonko amemwachisha kazi Kaimu Katibu wa Kaunti, Bw Leboo...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Sonko agawanya ODM
Na VALENTINE OBARA VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi,...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Sonko alilia mahakama itupe kesi dhidi yake
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA Mike Sonko Jumatano aliomba mahakama ifutilie mbali kesi tatu za ufisadi zinazomkabili akidai tume ya...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Sonko aendelea kuchapa kazi licha ya kufungiwa nje ya ofisi
Na BENSON MATHEKA GAVANA wa Nairobi, Mike Sonko, anaendelea kutekeleza majukumu yake kama gavana, licha ya kupigwa marufuku kukanyaga...