Tag: starlets
Kayole Starlets yajipanga kutifua vumbi la kufa mtu
Na JOHN KIMWERE VIONGOZI wa timu ya wanawake ya Kayole Starlets wamevunja kikosi hicho na kusajili upya baadhi ya wachezaji wake pia...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Starlets waalikwa kuwania ubingwa wa soka ya wanawake Uturuki
Na GEOFFREY ANENE Mabingwa wa soka ya wanawake ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) Harambee Starlets wamepata mwaliko kuwania ubingwa...
- by adminleo
- November 21st, 2019
Starlets waadhibu Uganda 3-0
Na GEOFFREY ANENE Harambee Starlets imekamilisha mechi zake za Kundi B bila kushindwa baada ya kulipua Crested Cranes ya Uganda 3-0...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Starlest tayari kupigana na Black Queens kufuzu Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Starlets imekamilisha mazoezi uwanjani Accra tayari kwa mechi ya kufuzu kushiriki michezo ya Olimpiki dhidi...
- by adminleo
- December 8th, 2018
VIWANGO VYA FIFA: Harambee Starlets wazidi kuporomoka
Na GEOFFREY ANENE KENYA inazidi kuporomoka katika Viwango vya Ubora vya Shirikisho la Soka Dunia (FIFA) vya wanawake baada ya kuteremka...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Starlets watupwa nje ya AWCON
Na GEOFFREY ANENE NI rasmi Harambee Starlets ya Kenya iko nje ya soka ya Kombe la Afrika la wanawake (AWCON) mwaka 2018 baada ya rufaa...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Masaibu ya kifedha yatawalemaza Starlets AWCON – Mwendwa
Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) Nick Mwendwa amekiri nafasi ya Harambee Starlets katika Kombe la Afrika la...
- by adminleo
- October 18th, 2018
AWCON: Safari ya #HarambeeStarlets kutinga fainali Accra
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Kenya almaarufu Harambee Starlets itakuwa kwenye droo ya Kombe la Afrika (AWCON)...
- by adminleo
- September 7th, 2018
Hatimaye kesi ya Harambee Starlets dhidi ya Equatorial Guinea kuamuliwa
Na Geoffrey Anene HARAMBEE Starlets itafahamu Septemba 8, 2018 hatima yake ya kushiriki Kombe la Afrika la Wanawake (AWCON) mwaka...
- by adminleo
- July 19th, 2018
Harambee starlets watiwa adabu na Crested Cranes
Na GEOFFREY ANENE MIAMBA Harambee Starlets wameanza kampeni yake ya kutafuta taji la Soka ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa kulimwa...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Starlets waanza kunoa kucha za kuiumiza Equatorial Guinea
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Kenya almaarufu Harambee Starlets imeripoti kambini Mei 23, 2018 kujiandaa...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Starlets waingia mkondo wa pili kufuzu Kombe la Afrika
Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Starlets ya Kenya, She-polopolo ya Zambia na Mighty Warriors ya Zimbabwe zimeingia raundi ya pili ya mashindano...