• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 7:55 AM

Kayole Starlets yajipanga kutifua vumbi la kufa mtu

Na JOHN KIMWERE VIONGOZI wa timu ya wanawake ya Kayole Starlets wamevunja kikosi hicho na kusajili upya baadhi ya wachezaji wake pia...

Starlets waalikwa kuwania ubingwa wa soka ya wanawake Uturuki

Na GEOFFREY ANENE Mabingwa wa soka ya wanawake ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) Harambee Starlets wamepata mwaliko kuwania ubingwa...

Starlets waadhibu Uganda 3-0

Na GEOFFREY ANENE Harambee Starlets imekamilisha mechi zake za Kundi B bila kushindwa baada ya kulipua Crested Cranes ya Uganda 3-0...

Starlest tayari kupigana na Black Queens kufuzu Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Starlets imekamilisha mazoezi uwanjani Accra tayari kwa mechi ya kufuzu kushiriki michezo ya Olimpiki dhidi...

VIWANGO VYA FIFA: Harambee Starlets wazidi kuporomoka

Na GEOFFREY ANENE KENYA inazidi kuporomoka katika Viwango vya Ubora vya Shirikisho la Soka Dunia (FIFA) vya wanawake baada ya kuteremka...

Starlets watupwa nje ya AWCON

Na GEOFFREY ANENE NI rasmi Harambee Starlets ya Kenya iko nje ya soka ya Kombe la Afrika la wanawake (AWCON) mwaka 2018 baada ya rufaa...

Masaibu ya kifedha yatawalemaza Starlets AWCON – Mwendwa

Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) Nick Mwendwa amekiri nafasi ya Harambee Starlets katika Kombe la Afrika la...

AWCON: Safari ya #HarambeeStarlets kutinga fainali Accra

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Kenya almaarufu Harambee Starlets itakuwa kwenye droo ya Kombe la Afrika (AWCON)...

Hatimaye kesi ya Harambee Starlets dhidi ya Equatorial Guinea kuamuliwa

Na Geoffrey Anene HARAMBEE Starlets itafahamu Septemba 8, 2018 hatima yake ya kushiriki Kombe la Afrika la Wanawake (AWCON) mwaka...

Harambee starlets watiwa adabu na Crested Cranes

Na GEOFFREY ANENE MIAMBA Harambee Starlets wameanza kampeni yake ya kutafuta taji la Soka ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa kulimwa...

Starlets waanza kunoa kucha za kuiumiza Equatorial Guinea

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Kenya almaarufu Harambee Starlets imeripoti kambini Mei 23, 2018 kujiandaa...

Starlets waingia mkondo wa pili kufuzu Kombe la Afrika

Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Starlets ya Kenya, She-polopolo ya Zambia na Mighty Warriors ya Zimbabwe zimeingia raundi ya pili ya mashindano...