Tag: Suleiman Shahbal
- by T L
- March 24th, 2022
Ni tikiti ya Shahbal, Maitha ugavana wa Mombasa
NA VALENTINE OBARA MFANYABIASHARA Suleiman Shahbal, leo Alhamisi anatarajiwa kumtangaza rasmi Bi Selina Maitha Lewa, dadaye mbunge wa...
- by T L
- January 27th, 2022
Shahbal awapuuza wakosoaji
NA ANTHONY KITIMO MFANYABIASHARA Suleiman Shahbal, amepuuzilia mbali mahasimu wake wanaotilia shaka kama ataweza kuwa mwadilifu iwapo...
- by T L
- January 11th, 2022
Madaktari 10 wa Mombasa kufaidika kwa mafunzo zaidi nchini Uturuki kwa juhudi za Shahbal
WACHIRA MWANGI na CHARLES WASONGA MFANYABIASHARA wa Mombasa Suleiman Shahbal amefaulu kupata nafasi zitakazowawezesha madaktari 10...
- by T L
- November 1st, 2021
Nassir na Shahbal wabishania ‘Baba’
Na VALENTINE OBARA WANASIASA wanaopanga kushindania tikiti ya Chama cha ODM kuwania ugavana Kaunti ya Mombasa, wameanza kutetea uaminifu...
- by T L
- October 26th, 2021
Shahbal atetea mradi wa nyumba Buxton
Na VALENTINE OBARA MFANYABIASHARA Suleiman Shahbal, anayepanga kuwania ugavana Mombasa, ameomba maseneta wasitumiwe kisiasa kukwamisha...
- by T L
- October 25th, 2021
Shahbal apuuza ‘jeshi’ la Nassir
Na VALENTINE OBARA MFANYABIASHARA Suleiman Shahbal, anayepanga kuwania ugavana Mombasa mwaka ujao, amepuuzilia mbali hatua ya wabunge wa...
Mshirika wa karibu wa Shahbal ahamia UDA
NA MWANDISHI WETU Mwaniaji wa kiti cha Uwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Mombasa Bi Miraj Abdullahi sasa ameachana na mshirika wake...
Kibarua kizito kwa ‘warithi’ 4 wa Joho
Na WINNIE ATIENO WANASIASA wanne wanaowania kumrithi Gavana wa Mombasa, Hassan Joho katika uchaguzi wa Agosti 2022 wameanza kuwatafuta...
JAMVI: Mradi watia doa azma ya Shahbal kuwania ugavana
Na WINNIE ATIENO SIASA za uwaniaji ugavana katika uchaguzi ujao zimechukua mkondo mpya katika Kaunti ya Mombasa, baada ya mfanyabiashara...
Shahbal ‘avuka kisiki’ katika urithi wa Joho
Na ANTHONY KITIMO Mfanyabiashara wa Mombasa, Suleiman Shahbal, ameanza mikakati ya kumrithi Gavana wa Mombasa Hassan Joho, siku chache...
Shahbal hatimaye aingia ODM
Na VALENTINE OBARA MWANASIASA Suleiman Shahbal hatimaye amejisajili rasmi kujiunga na Chama cha ODM na hivyo basi kuepuka hatari ya...
Kalonzo amrai Shahbal arejee chamani Wiper
Na ANTHONY KITIMO KIONGOZI wa Chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka amemrushia ndoano mfanyabiashara Suleiman Shahbal ambaye amepanga...