• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 9:55 AM

Supkem yashutumu serikali kwa mauaji

Na CECIL ODONGO BARAZA la Kitaifa la Waislamu Nchini (SUPKEM) limekashifu utovu wa usalama unaoendelea kushuhudiwa nchini, likidai kuwa...

Ramadhan: Supkem yaomba Rais asaidie Waislamu kwa chakula na fedha

GEORGE SAYAGIE na AFP VIONGOZI wa Kiislamu wamemrai Rais Uhuru Kenyatta kuwasaidia Waislamu kwa chakula na fedha nchini, wakati...

Waislamu nao wakataa BBI

Na CECIL ODONGO BARAZA Kuu la Waislamu Nchini (Supkem ) limepinga ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI) na kudai yaliyomo ni kinyume...

Balozi wa Saudia lawamani kwa kuvuruga Supkem

 Na WACHIRA MWANGI WANACHAMA wa Baraza Kuu la Waislamu (SUPKEM) tawi la Pwani wametoa wito kwa balozi wa Saudi Arabia hapa nchini...

Supkem kutoa orodha ya maajenti wa safari za kwenda Hija

NA CECIL ODONGO BARAZA Kuu la Waislamu Nchini (SUPKEM) linatarajiwa mnamo Jumapili, kutoa orodha ya maajenti halali kuwashughulikia...

Magaidi hawana dini wala kabila – SUPKEM

CECIL ODONGO na MOHAMED AHMED VIONGOZI wa Baraza kuu la Kiislamu nchini (SUPKEM) Jumatano walikemea wanaohusisha magaidi waliotekeleza...

SUPKEM yakana kudinda kulipa maajenti waliofanikisha Hija

Na CECIL ODONGO BARAZA la Dini ya Kiislamu nchini, SUPKEM limejitokeza Jumatatu na kukanusha vikali madai kwamba limewakatalia fedha za...

KURUNZI YA PWANI: SUPKEM lawamani kuhusu ilivyosimamia Hija ya 2018

Na CECIL ODONGO UHASAMA umeibuka kati ya Baraza Kuu la Waislamu nchini (SUPKEM) na maajenti waliotoa huduma za kufanikisha safari za...

Waislamu washukuru Saudia kudhamini mahujaji, kupanua misikiti

Na CECIL ODONGO MUUNGANO wa Hajj na Umra Kenya umeipongeza hatua ya serikali ya Saudi Arabia ya kupanua misikiti miwili mitakatifu na...