Tag: tahariri
- by T L
- February 4th, 2022
TAHARIRI: Wadau waepushe raia kususia kura katika uchaguzi ujao wa Agosti 9
NA MHARIRI HUKU muda wa kujisajili kupiga kura ukikaribia kuisha, imeibuka kuwa wadau wakuu wanarushiana lawama kuhusu aliyekosa...
- by T L
- February 2nd, 2022
TAHARIRI: Wabunge walionyesha mfano mbovu
NA MHARIRI JUMA lililopita wabunge walionyesha mwenendo mbovu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya Kenya walipoangusha hoja...
- by T L
- February 1st, 2022
TAHARIRI: Usalama wa raia utiliwe maanani
NA MHARIRI SERIKALI inahitajika ikaze kamba kuhusu kukabiliana na visa vingi vya uhalifu ambavyo vinaendelea kutokea nchini. Katika...
- by T L
- January 30th, 2022
TAHARIRI: Wananchi wasaidie kukabili ugaidi
NA MHARIRI USALAMA wa raia na mali yao ni muhimu na unafaa kuhakikishwa kila wakati. Kufuatia onyo lililotolewa na mataifa ya Ulaya...
- by T L
- January 28th, 2022
TAHARIRI: Kiswahili kimeathiriwa pakubwa na sera baguzi
NA MHARIRI TUNAPOENDELEA na maadhimisho ya ‘Lugha za Kiafrika’ juma hili, tumeangazia masuala ainati kuhusu Kiswahili kama mojawapo...
- by T L
- January 27th, 2022
TAHARIRI: Wabunge waonyeshe ukomavu kwa masuala ya kitaifa
Na MHARIRI TUKIO la Jumanne jioni ambapo kikundi cha wabunge kiliingiza siasa na kukataa kuidhinisha Kamati ya Shughuli za Bunge (HBC)...
- by T L
- January 26th, 2022
TAHARIRI: Serikali iwape wakimbizi wa Mau makazi
Na MHARIRI JUMA hili kumeripotiwa habari za kutamausha sana kuhusu visa na masaibu yanayowakumba watu waliofurushwa na serikali kuu...
- by T L
- January 25th, 2022
TAHARIRI: Tubadili mtindo wa kudumisha amani uchaguzi unapokaribia
NA MHARIRI HUKU Kenya inapojiandaa kwa Uchaguzi Mkuu ujao ulioratibiwa kufanyika Agosti, mojawapo ya masuala makuu yanayoendelea...
- by T L
- January 24th, 2022
TAHARIRI: Bodi iziondoe dawa hatari hospitalini
Na MHARIRI UGATUZI ulipoanza kutekelezwa mwaka 2013, mojawapo ya sekta zilizogatuliwa ni ile ya afya. Huenda hekima ya waliotunga...
- by T L
- January 15th, 2022
TAHARIRI: Tujikaze tufuzu kwa fainali za Dunia, Bara
Na MHARIRI KENYA ni taifa lililojaaliwa sana vipaji vya michezo hasa riadha. Huwa ni fahari kubwa zaidi wanariadha wetu wanapotia...
- by T L
- January 14th, 2022
TAHARIRI: Serikali ifanye juhudi kuzima mauaji ya watu
Na MHARIRI RIPOTI zinazotoka Lamu zinaonyesha kuwa hata kama serikali imeongeza maafisa wa usalama, bado maisha ya wakazi yanaendelea...
- by T L
- January 13th, 2022
TAHARIRI: Serikali ifuate sheria katika mageuzi ya CBC
Na MHARIRI WIZARA ya Elimu haiwezi kutangaza mambo muhimu yanayowahusu watoto bila ya kushirikisha umma kwenye Mfumo wa elimu wa Umilisi...