Tag: tahariri
- by T L
- January 11th, 2022
TAHARIRI: Chuki: Vigogo wawadhibiti wafuasi wao
Na MHARIRI SIKU moja tu baada ya Seneta wa Meru Mithika Linturi kukamatwa na maafisa wa polisi kuhusiana na matamshi yake ya kuchochea...
- by T L
- January 10th, 2022
TAHARIRI: Kuhubiri chuki ya kisiasa tishio kwa taifa kabla ya kura
Na MHARIRI SIKU ya Jumamosi kuliandaliwa mkutano mkubwa sana katika uwanja wa Eldoret Sports Club. Mkutano huu ulikuwa wa chama cha...
- by T L
- January 2nd, 2022
TAHARIRI: Ushirikiano unahitajika mno katika elimu 2022
Na MHARIRI KALENDA ya Elimu mwaka huu wa 2022 ina shughuli nyingi ambazo zitahitaji mchango wa pamoja wa wadau wote. Ni mwaka ambao...
- by T L
- January 1st, 2022
TAHARIRI: Macho yetu yako kwa Uhuru, IEBC na Knec 2022
Na MHARIRI MWAKA huu wa 2022 utakuwa wa shughuli tele. Macho ya Wakenya yataelekezwa hasa kwa Rais Uhuru Kenyatta, Tume Huru ya Uchaguzi...
- by T L
- December 31st, 2021
TAHARIRI: Sharti amani idumishwe mikutano ya kisiasa leo
Na MHARIRI JAPO mkutano wa kisiasa ambao unafanyika leo Ijumaa katika uwanja wa Bukhungu, Kakamega unatarajiwa kutumika kupima ubabe wa...
- by T L
- December 28th, 2021
TAHARIRI: Tangazo kuhusu karo kuzifikia shule Jumatatu lisiwe ahadi tupu
Na MHARIRI HUKU shule zikitarajiwa kufunguliwa kwa muhula wa tatu mnamo Januari 3, 2022, Waziri wa Elimu Profesa George Magoha jana...
- by T L
- December 27th, 2021
TAHARIRI: Wakenya hawajaona zawadi ya stima nafuu
Na MHARIRI HUKU Wakenya wakimaliziamalizia sherehe za Krismasi wikendi iliyoisha, wengi wamegutuka kutambua kwamba ahadi ya Rais Uhuru...
- by T L
- December 19th, 2021
TAHARIRI: Suala la watu kupotezwa kiholela linaleta maafa badala ya faraja
Na MHARIRI INAHOFISHA kwamba jumla ya watu 61 walitoweka katika hali kutatanisha nchini mwaka huu 2021. Hatari zaidi ni kwamba wanane...
- by T L
- December 18th, 2021
TAHARIRI: Kongole watimkaji marathon kutuletea sifa tena
Na MHARIRI WIKI iliyopita wakimbiaji Philemon Kiplimo, Collins Koros na Sheila Chepkirui waliwika katika Bahrain Night Half Marathon na...
- by T L
- December 17th, 2021
TAHARIRI: Tutahadhari sana na aina hii mpya ya corona
Na MHARIRI WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe juzi alithibitisha kuwepo kwa aina ya Omicron ya Covid-19 nchini Kenya. Wagonjwa watatu,...
- by T L
- December 16th, 2021
TAHARIRI: Wakenya wawe na mazoea ya kupima maradhi
Na MHARIRI TAKWIMU za Shirika la Afya Duniani (WHO) zilizotolewa wiki hii, zinaonyesha ugonjwa wa saratani bado ni hatari kwa mamilioni...
- by T L
- December 14th, 2021
TAHARIRI: CBC: Serikali ijitahidi kutoa mwelekeo faafu mapema
Na MHARIRI SHULE za msingi za kibinafsi zimeripotiwa kuanza kujenga madarasa zaidi kama sehemu ya matayarisho ya kupatia wanafunzi...