• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 10:55 AM

TALANTA: Dogo mkali wa tenisi

NA PATRICK KILAVUKA AMEZAMIA katika kukuza kipaji cha tenisi kwa kuiga mchezaji mahiri Angela Okutuyi ambaye amekuwa mwiba katika ulingo...

TALANTA: Dogo nguli wa Afrobeat

NA PATRICK KILAVUKA SHAUKU ya moyo wake ni kuwa mwanamitindo siku za majaliwa. Amezamia kujituma kuchonga talanta yake kupitia kusakata...

TALANTA: Wanasarakasi ibuka

NA RICHARD MAOSI MCHEZO wa sarakasi na kwata ya watoto unatambulika tangu zamani kutokana na ufaafu wake katika kuupa mwili nguvu kwani...

TALANTA: 4K Club ya aina yake

NA PATRICK KILAVUKA KUSTAWISHWA kwa klabu ya Kilimo mwaka jana katika shule ya msingi ya Muguga Green, kaunti ndogo ya Westlands, Kaunti...

TALANTA: Dogo anayetamba katika muziki wa ala na sarakasi

NA PATRICK KILAVUKA ANASEMA kusoma na kuelewa arudhi na tamrini za usanii wa muziki na uanasarakasi kunahitaji uelewa wa lugha. Yeye...

TALANTA: Wanahabari chipukizi

NA ENOCK NYARIKI MTAZAMO wao mpevu kuhusu mambo ya msingi yanayojenga taaluma ya uanahabari ndio unaozipa talanta zao upekee na kuwavika...

TALANTA: Hana mfano katika ufumaji

NA RICHARD MAOSI WANAFUNZI wanaweza kutumia muda wao wa ziada kujifunza stadi kemkem tofauti na masomo ya darasani. Hataua ya namna...

Ripoti ya BBI inavyosema kuhusu kusuka talanta za vijana chipukizi

Na JOHN ASHIHUNDU RIPOTI ya Jopo la Maridhiano (BBI) imependekeza kubuniwa kwa taasisi ya kitaifa ya kusimamia michezo ya bahati nasibu,...

SANAA: Talanta yake yamfaa pakubwa maishani mnamo wakati ameshastaafu

Na SAMMY WAWERU SWALI ikiwa mja amejipanga au kujiandaa na kujua atakachofanya siku za usoni baada ya kustaafu aghalabu huwa si rahisi...

Talanta imemwezesha kukutana na Rais Kenyatta

Na SAMMY WAWERU MTAA wa Majengo, Nyeri kwa muda mrefu umekuwa ukigonga vichwa vya vyombo vya habari kwa sababu ya visa vya uhalifu...

WATOTO: Subira yake katika uigizaji yamvutia heri KBC

Na PATRICK KILAVUKA Ndoto yake ilikuwa siku moja awe mwigizaji kwenye vipindi vya runinga kwani alikuwa mraibu wa kutazama vipindi vya...