• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 5:55 AM

Rais aongoza Wakenya kuomboleza seneta aliyefariki kwa ajali

Na Mary Wangari VIONGOZI na wanasiasa mbalimbali wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta pamoja na naibu wake, Dkt William Ruto jana...

WANDERI KAMAU: Buriani mhariri wetu mahiri Mauya Omauya

Na WANDERI KAMAU HUJAMBO msomaji? Kwa kawaida, nafasi hii huwa ya mwandishi Mauya Omauya kila Ijumaa, ambapo huwa anaandika makala...

Raila amwomboleza mwanahabari shupavu Philip Ochieng’

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga ameomboleza kifo cha mwanahabari mkongwe Philip Ochieng’ akimtaja kama mtaalamu...

Wakenya wamwomboleza Philip Ochieng’

NA NYAMBEGA GISESA Wakenya wanaendelea kumwomboleza mhariri na mwandishi mashuhuru wa Makala Bw Philip Ochieng. Bw Ochieng, 83 ambaye...

TANZIA: Mhariri wa zamani wa Taifa Leo afariki

Na LEONARD ONYANGO MHARIRI msanifishaji wa zamani wa gazeti la Taifa Leo Dennis Geoffrey Mauya, maarufu Mauya Omauya, amefariki baada ya...

Koinange alikuwa kiongozi wa kuaminika, UhuRuto wamwomboleza mbunge

NA MWANGI MUIRURI MKUKI katili wa mauti umerejea tena katika bunge la kitaifa na kumvuna mbunge wa Kiambaa Bw Paul Koinange baada ya...

Rais Kenyatta atangaza siku 7 za kumwomboleza Magufuli, bendera nusu mlingoti

NA WANGU KANURI RAIS Uhuru Kenyatta ametoa risala za rambirambi kwa mkewe Rais Magufuli, Janet Magufuli, watoto wao, jamaa na taifa la...

Uhuru amwomboleza mwanahabari aliyefariki kutokana na corona

CHARLES WASONGA na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ametuma risala za rambirambi kwa familia ya mwanahabari Robin Njogu ambaye alifariki...

Pigo mabunge ya Kenya yakipoteza wabunge watano

Na CHARLES WASONGA JUMATATU, Februari 15, ilikuwa siku yenye mkosi kwa mabunge ya Kenya - Seneti na Bunge la Kitaifa - kufuatia vifo vya...

Huzuni tele viongozi wakipoteza wazazi wao

Na WAANDISHI WETU HUZUNI ilitanda jana katika familia za viongozi mbalimbali waliofiwa na wazazi wao. Rais Uhuru Kenyatta aliongoza...

Mbunge wa zamani wa Kaloleni afariki

Na Mohamed Ahmed ALIYEKUWA mbunge wa Kaloleni, Gunga Mwinga alifariki jana akipokea matibabu katika hospitali moja jijini Mombasa.Kwa...

Joho apata pigo huku wengi wakimuomboleza Hatimy

MOHAMED AHMED Na MISHI GONGO KIFO cha aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha ODM na diwani maalum wa Mombasa, Bw Mohammed Hatimy, kimeacha...