Tag: teknohama
- by adminleo
- March 24th, 2020
TEKNOHAMA: Simu kutumika kukabili Covid-19
Na LEONARD ONYANGO KATIKA juhudi za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona, serikali imekuwa ikishauri wananchi kuepuka maeneo yenye...
- by adminleo
- March 10th, 2020
TEKNOHAMA: Simu inaweza kueneza homa ya Corona
Na LEONARD ONYANGO SIMU yako huenda ikakufanya kupata maambukizi ya homa ya Corona ambayo imeua karibu watu 3,700 na kuambukiza wengine...
- by adminleo
- February 18th, 2020
TEKNOHAMA: App ya kukabiliana na homa ya Corona
Na LEONARD ONYANGO HUKU Shirika la Afya Duniani (WHO) likisema kuwa kinga dhidi ya homa ya Corona itapatikana ndani ya miezi 18 ijayo,...
- by adminleo
- February 11th, 2020
TEKNOHAMA: Tumia app zilizokubalika pekee kwa afya yako
Na LEONARD ONGANGO KATIKA mtandao wa Google Play Store, kuna maelfu ya programu za simu (apps) zinazodai kusaidia watu kuboresha afya...
- by adminleo
- January 28th, 2020
TEKNOHAMA: Simu huenda ikatumiwa kupima UTI
Na LEONARD ONYANGO MAAMBUKIZI ya mfumo wa mkojo (UTI) yamekuwa yakihusishwa na wanawake, lakini wataalamu wa afya wanasema kuwa wanaume...
- by adminleo
- November 26th, 2019
TEKNOHAMA: Usitegemee app tu katika kupanga uzazi, nyingi zinapotosha
Na LEONARD ONYANGO KUNA njia tele za wanawake kujua siku zilizo na uwezekano mkubwa wa kupata ujauzito. Kwa wanawake ambao mzunguko...
- by adminleo
- November 19th, 2019
SHINA LA UHAI: Watumiaji mihadarati sasa watatambulika kwa kupimwa viganja
Na LEONARD ONYANGO MIKONO ya watumiaji wa mihadarati huenda sasa ikatumika kama ushahidi kortini baada ya wanasayansi wa nchini...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SHINA LA UHAI: Huenda ukapima ubongo wa mtoto angali tumboni
Na LEONARD ONYANGO AKINA mama wajawazito huenda wakatumia simu kupima watoto wao tumboni kubainisha ikiwa ubongo una dosari au...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
AFYA JAMII: Kidume cha mbegu au goigoi chumbani?
Na LEONARD ONYANGO KUKOSA mtoto ni miongoni mwa sababu kuu zinazosababisha ndoa kuvunjika na mara nyingi wanaume hukimbilia kuwalaumu...
- by adminleo
- October 8th, 2019
SHINA LA UHAI: Afua kwa wanaougua kansa ya mapafu
Na LEONARD ONYANGO MATUMAINI ya wagonjwa wa kansa ya mapafu kupata matibabu yameongezeka baada ya wanasayansi kuthibitisha kuwa kifaa...
- by adminleo
- September 24th, 2019
TEKNOHAMA: Facebook kuzima habari feki za tiba
Na LEONARD ONYANGO MITANDAO ya kijamii ni sawa na maji ya mafuriko; hubeba takataka na vitu vya thamani. Licha ya mitandao ya kijamii...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Selfie kutumika kupima presha
Na LEONARD ONYANGO UKIWA una simu aina ya ‘smartphone’ kuna uwezekano mkubwa kwamba karibu nusu ya picha zilizomo ni za...