Tag: teknolojia
- by adminleo
- October 25th, 2019
Wanawake Kiambu wahimizwa kuzingatia teknolojia mpya
Na LAWRENCE ONGARO KIKUNDI kimoja cha wanawake Kaunti ya Kiambu kimejitolea kubuni njia rahisi ya kupata umeme kwa kutumia teknolojia...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
NGILA: Vizingiti vya ustawi wa teknolojia ya dijitali viondolewe
Na FAUSTINE NGILA KULINGANA na ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2019 kuhusu hali halisi ya uchumi wa kidijitali, Kenya ina mengi ya...
- by adminleo
- October 1st, 2019
Wito vituo vya intaneti vianzishwe mashinani
Na PHYLLIS MUSASIA WIZARA ya elimu Nakuru, imeomba serikali ya kaunti ianzishe miradi spesheli ya mitandao mashinani, ili kusaidia...
- by adminleo
- September 24th, 2019
TEKNOLOJIA: Wanafunzi wako tayari, nani atawafundisha usimbaji wa programu?
NA FAUSTINE NGILA NI Jumatano mchana katika mji wa Meru, ambapo Taifa Leo Dijitali imetembelea Shule ya Msingi ya St Paul iliyoko mita...
- by adminleo
- September 19th, 2019
NGILA: Dunia isipodhibiti teknolojia za #Deepfake, itaangamia
Na FAUSTINE NGILA Wakati afisa mkuu mtendaji wa kampuni za Amerika, Tesla na Space X, Bw Elon Musk (pichani) alipotoa hotuba kuhusu haja...
- by adminleo
- September 10th, 2019
NGILA: Bila ushirikiano kiteknolojia #AfricaRising itasalia ndoto tu
Na FAUSTINE NGILA RIPOTI ya hivi majuzi kuhusu uchumi wa dijitali iliyochapishwa na Umoja wa Mataifa (UN) imetoa takwimu za kushtua....
- by adminleo
- September 10th, 2019
Teknolojia kutumika pakubwa Mlima Kenya kukabiliana na pombe haramu
Na LAWRENCE ONGARO SERIKALI imezindua mbinu mpya ya kutambua ilipo pombe haramu kwa kutumia vifaa vya kiteknolojia ambavyo ni ndege...
- by adminleo
- September 4th, 2019
WANGARI: Mahakama zitumie teknolojia kuimarisha huduma zao
NA MARY WANGARI Hivi majuzi, Jaji Mkuu David Maraga alifichua kwamba mahakama zimefanikiwa kupunguza mrundiko wa kesi zilizodumu kwa...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
NGILA: KRA isikubali biashara za mitandaoni zikwepe ushuru
NA FAUSTINE NGILA HUKU mizizi ya teknolojia ikizidi kupenyeza katika uchumi wa Kenya, biashara za mitandaoni zimeongezeka kwa kasi mno...
- by adminleo
- September 1st, 2019
NGILA: Tuwape watoto fikra za kutatua changamoto maishani
NA FAUSTINE NGILA WIKI iliyopita wanafunzi wa elimu ya msingi na sekondari wenye umri wa kati ya miaka minane na 17 katika Kaunti ya...
- by adminleo
- August 12th, 2019
NGILA: Usimkejeli mwenzio anayetumia simu kusoma Biblia kanisani
NA FAUSTINE NGILA KWA muda mrefu sasa, athari za teknolojia kwa dini zimekuwa zikioneknana kuwa mbaya kwa waumini. Lakini imani hii...
- by adminleo
- August 6th, 2019
NGILA: Ukoloni wa data waja Afrika tusipochukua hatua
Na FAUSTINE NGILA KATIKA Biblia Takatifu, (Mathayo 2:1-12) , Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za Mfalme Herode,...