• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:55 PM

Wakenya 4 waona giza tenisi ya Afrika ya Under-18 ikianza Tunisia

Na GEOFFREY ANENE WANATENISI wa Kenya wamefanya vibaya katika siku ya kwanza ya mashindano ya Bara Afrika kwa wachezaji wasiozidi umri...

Okutoyi atinga nusu-fainali ya tenisi ya J3 nchini Misri

Na GEOFFREY ANENE MWANATENISI Angella Okutoyi ametinga nusu-fainali ya mashindano ya kwanza ya daraja ya tatu ya J3 Cairo baada ya...

Wanatenisi wa Kenya waanza mazoezi ya uwanjani baada ya matokeo mazuri ya vipimo vya corona

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya tenisi ya wanaume ya Kenya ya Kombe la Davis la Afrika Kundi la Tatu imepokea matokeo yake ya virusi vya...

Andy Murray ajiondoa kwenye tenisi ya mchezaji mmoja kila upande kwa sababu ya jeraha

Na MASHIRIKA BINGWA mara mbili wa Olimpiki, Andy Murray, 34, amejiondoa kwenye tenisi ya mchezaji mmoja kila upande baada ya kupata...

Mkenya Mudibo achaguliwa naibu rais wa tenisi ya mezani Afrika, aahidi kuboresha mchezo Kenya na kote barani

Na AYUMBA AYODI Naibu rais mpya wa Shirikisho la Tenisi ya Mezani Afrika (ATTF) wa masuala ya maendeleo Mkenya Andrew Mudibo, ameahidi...

AUSTRALIAN OPEN: Mwanatenisi Medvedev atoka nyuma na kuangusha Krajinovic

Na MASHIRIKA KOCHA Gilles Cervara anayemtia makali mwanatenisi Daniil Medvedev wa Urusi, aliondoka uwanjani kwa hasira baada ya mchezaji...

Okutoyi achafua Safi na kutinga fainali tenisi ya World Tour Nairobi

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Angella Okutoyi amebandua Meshkatolzahra Safi kwenye mashindano ya tenisi ya World Tour (J4 Nairobi II) baada ya...

Kenya kuandaa mashindano ya kimataifa ya tenisi kwa chipukizi kuanzia Januari 18

Na CHRIS ADUNGO KENYA itakuwa mwenyeji wa makala ya kwanza ya mchezo wa kimataifa wa tenisi kwa chipukizi almaarufu Tennis Federation...

Mataifa 16 yathibitisha kushiriki tenisi za kimataifa jijini Nairobi

Na CHRIS ADUNGO JUMLA ya mataifa 16 yamethibitisha kushiriki mapambano ya kimataifa ya tenisi kwa chipukizi almaarufu International...

Mkenya Wanjiru Karani ateuliwa kuhudumu katika chama cha tenisi Afrika

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Wanjiru Mbugua Karani ameteuliwa kuhudumu katika Tume ya Wanawake ya Chama cha Tenisi barani Afrika (CAT),...

Droo ya tenisi ya Davis Cup ya bara ni leo Jumanne

Na GEOFFREY ANENE WENYEJI Kenya watafahamu wapinzani wao wa mechi za makundi za mashindano ya tenisi ya wanaume ya Bara Afrika ya daraja...

Okutoyi na Nkatha wazidi kuipa Kenya matumaini katika tenisi Afrika

Na GEOFFREY ANENE WANATENISI Angella Okutoyi na Judith Nkatha ndio wamesalia kupeperusha bendera ya Kenya katika fani hii kwenye michezo...