Tag: Thika Superhighway
Mwanamume apata majeraha kwa kugongwa na gari Thika Road
Na SAMMY WAWERU MWANAMUME mmoja anauguza majeraha baada ya kugongwa na gari mnamo Jumanne wakati akipita eneo lisilo na daraja wala...
Watumiaji wa Thika Road eneo la Roysambu kuelekea Ruiru, Juja na Thika wahimizwa kutafuta njia mbadala
Na SAMMY WAWERU MSONGAMANO wa magari unaendelea kushuhudiwa katika barabara kuu ya Thika Superhighway kufuatia ukarabati...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Mmoja apata majeraha baada ya kuhusika katika ajali Thika Road
Na SAMMY WAWERU WATU watano walinusurika kifo katika ajali iliyotokea Jumatano jioni katika barabara ya Thika Superhighway. Ajali...
- by adminleo
- May 30th, 2020
Wawili wanusuruka kifo katika ajali Thika Superhighway
Na SAMMY WAWERU WATU wawili Jumamosi wamenusurika kifo baada ya lori walimokuwa kuhusika katika ajali mbaya katika barabara ya Thika...
- by adminleo
- February 11th, 2020
Baadhi ya madereva wadai hafla ya kitaifa imewaondolea usumbufu wa maafisa
Na MAGDALENE WANJA WAHUDUMU wa biashara ya matatu jijini Nairobi wamepata afueni Jumanne kwa kile wamesema ni kuwepo kwa maafisa...
- by adminleo
- November 5th, 2019
Kadhaa wanusurika kifo katika ajali Thika Superhighway
Na SAMMY WAWERU WATU kadhaa walinusurika kifo katika ajali iliyotokea Jumatatu jioni katika barabara ya Thika Superhighway. Ajali...