Tag: tunisia
- by T L
- December 1st, 2022
KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Tunisia wakosa kuingia 16-bora licha ya kuangusha miamba Ufaransa katika Kundi D
Na MASHIRIKA UFARANSA walishuhudia bao lao la kusawazisha dhidi ya Tunisia likifutiliwa mbali na teknolojia ya VAR mwishoni mwa kipindi...
- by T L
- November 23rd, 2022
Tunisia na Denmark waumiza bure nyasi za uwanja wa Education City katika mchuano wa Kundi D
Na MASHIRIKA DENMARK na Tunisia walitoshana nguvu katika mechi ya Kundi D iliyowakutanisha uwanjani Education City, Al Rayyan. Licha...
- by T L
- January 30th, 2022
AFCON: Burkina Faso wang’oa Tunisia kwenye robo-fainali
Na CHRIS ADUNGO TINEJA Dango Ouattara alifunga bao la pekee lililowapa Burkina Faso ushindi wa 1-0 dhidi ya Tunisia kabla ya kufurushwa...
- by adminleo
- October 23rd, 2019
Rais mpya wa Tunisia aapishwa
Na MASHIRIKA TUNIS, TUNISIA RAIS mpya wa Tunisia Kais Saied ameapishwa rasmi kwenye kikao cha bunge la taifa hilo. Saied, 61...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Matokeo ya awali vituoni yamuweka mbele mhafidhina Kais Saied
Na AFP TUNIS, TUNISIA RAIS mteule wa Tunisia kwa mujibu wa matokeo ya kura za awali, mtaalamu na mhafidhina Kais Saied, amewashukuru...
- by adminleo
- September 13th, 2019
Mgombeaji urais asusia mlo katika jela ya Tunisia
Na MASHIRIKA MMOJA wa wawaniaji wa urais nchini Tunisia, Nabil Karoui, ambaye alipigiwa upatu kushinda kiti hicho ameanza kususia...
- by adminleo
- July 25th, 2019
Rais wa Tunisia afariki akiwa na umri wa miaka 92
Na MASHIRIKA TUNIS, TUNISIA RAIS wa Tunisia, Beji Caid Essebsi amefariki katika hospitali ya kijeshi jijini Tunis, imetangaza asasi...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Ni mwenye nguvu nipishe The Eagles wakiwania 3-bora
Na MASHIRIKA CAIRO, Misri JUMATANO, Julai 17, 2019, itakuwa ni zamu ya Super Eagles ya Nigeria na Carthage Eagles ya Tunisia...
- by adminleo
- July 10th, 2019
Tunisia yazamisha Ghana na kujikatia tiketi ya nane-bora
Na MASHIRIKA ISMAILIA, MISRI TUNISIA waliwapepeta Ghana 5-4 kupitia mikwaju ya penalti na hivyo kufuzu kwa hatua ya robo-fainali...
- by adminleo
- June 26th, 2019
Mali yaponda Mauritania, Angola wakiyumbisha dau la Tunisia
Na MASHIRIKA CAIRO, MISRI MALI walifungua kampeni za Kundi E kwa matao ya juu zaidi kwa kuwaponda limbukeni Mauritania 4-1 mnao...