Tag: uanahabari
WANDERI KAMAU: Tubuni makavazi ya uanahabari kukuza historia, mila zetu
Na WANDERI KAMAU SEKTA ya uanahabari nchini ni miongoni mwa nguzo kuu ambazo zimechangia pakubwa katika uhifadhi wa historia ya...
TANZIA: Hillary Ng’weno afariki, aacha historia ya kutamaniwa na wanahabari
Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine taaluma ya uanahabari imepata pigo kufuatia kifo cha mwanahabari mwingine mkongwe. Hillary...
‘Wanahabari 400 wamepoteza ajira sababu ya corona’
Na Justus Ochieng WANAHABARI zaidi ya 400 wamefutwa kazi tangu janga la corona lilipoingia nchini.Kwa mujibu wa Shirikisho la Wahariri...
CMIL-Kenya yatoa mafunzo ya kuboresha uanahabari nchini
NA FAUSTINE NGILA Kituo cha Unahabari na Elimu ya Mawasiliano nchini (CMIL-Kenya) kimeshirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano nchini (CA)...
- by adminleo
- December 6th, 2019
Jukwaa jipya kusaidia wanahabari kuanika maovu katika jamii
NA FAUSTINE NGILA MRADI mpya umezinduliwa jijini Nairobi kukuza vipawa vya wanahabari, wasanii na wanaharakati kwa lengo la kuinua...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Gazeti la Taifa Leo lachupa hadi nafasi ya 3 kwa usomaji
NA MWANDISHI WETU GAZETI la Taifa Leo limeibuka kuwa mojawapo wa magazeti matatu yanayosomwa na watu wengi zaidi nchini, huku likiyapiku...
- by adminleo
- June 27th, 2019
Spika Muturi aagiza wanahabari wapewe viti bungeni
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi Alhamisi amewaamuru wenyekiti na makarani wa kamati za bunge wahakikishe kuwa...
- by adminleo
- April 5th, 2019
Wanahabari wa kike wahimizwa kutia bidii, inalipa
Na CHARLES WASONGA WANAHABARI wa kike wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupandishwa vyeo badala ya kusubiri kupewe vyeo...
- by adminleo
- February 20th, 2019
NGILA: Tovuti za habari feki ni tisho kwa taaluma ya uanahabari
Na FAUSTINE NGILA YAMKINI kila mtu anayetegemea mitandao ya kijamii kupata habari za matukio ya kila siku amekumbana na vichwa vya...
- by adminleo
- December 13th, 2018
Hatimaye Uhuru akiri magazeti si ya ‘kufungia nyama’
Na LEONARD ONYANGO KWA mara ya kwanza Rais Uhuru Kenyatta ametambua mchango wa vyombo vya habari na mashirika ya kijamii katika vita...
- by adminleo
- November 19th, 2018
MCK kuanzisha msako dhidi ya wanahabari bandia
Na COLLINS OMULO BARAZA la kusimamia sekta ya Uandishi wa Habari (MCK) limeelezea hofu yake kuhusu kuongezeka kwa watu wanaojifanya kuwa...
- by adminleo
- November 14th, 2018
DHULUMA KWA WANAHABARI: Muthoki Mumo alivyoteswa na polisi wa Tanzania
Na PETER MBURU IMEBAINIKA kuwa polisi wa Tanzania walimtesa aliyekuwa mwanahabari wa Nation Media Group (NMG), Muthoki Mumo, wakati...