Tag: ubakaji
- by adminleo
- June 2nd, 2020
Ndani kwa kubaka msichana usiku mzima
By WAWERU WAIRIMU Mahakama ya Isiolo imemfunga mwanamume wa miaka 68 kwa kumbaka msichana miaka miwili iliyopita. Gerald Murungi...
- by adminleo
- May 5th, 2020
Mjerumani anayedaiwa kuchafua watoto wadogo azuiliwa siku 21
Na RICHARD MUNGUTI MZEE anayedaiwa kuwachafua, kuwabaka na kuwalawiti wavulana wenye umri mdogo atakaa rumande kwa siku 21 kuhojiwa na...
- by adminleo
- December 16th, 2019
Polisi mafisi
Na WAANDISHI WETU VISA vya maafisa wa polisi kushambulia watoto wa kike na kuwanajisi vimeongezeka katika maeneo tofauti ya nchi siku za...
- by adminleo
- December 4th, 2019
Asimulia mahakama alivyoleweshwa na kubakwa usiku kucha na dereva wa teksi
Na RICHARD MUNGUTI DEREVA wa magari ya teksi alifikishwa mahakamani Jumatatu akishtakiwa “kumgeuza kitoweo” mteja wake pale...
- by adminleo
- August 26th, 2019
Sensa ya visanga
NA WAANDISHI WETU SHUGHULI ya kuhesabu watu inaingia siku ya tatu Jumatatu kukiwa na ripoti za visa tofauti katika maeneo mengi ya nchi....
- by adminleo
- August 9th, 2019
Wachezaji wawili waliopatikana na hatia ya ubakaji kuhukumiwa Ijumaa ijayo
Na GEOFFREY ANENE na SAM KIPLAGAT WACHEZAJI wa zamani wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya, Alex Mahaga Olaba...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Ashangaza kumbaka mamake kusherehekea kuachiliwa kutoka jela
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME kutoka Ukraine alimbaka mamake mzazi, kusherehekea baada ya kuachiliwa kutoka jela, alikokuwa...
- by adminleo
- July 9th, 2019
Huenda wanaraga wakatupwa ndani miaka 15 kwa ubakaji
Na RICHARD MUNGUTI WACHEZAJI wa raga Frank Wanyama na Alex Mahaga wanaokabiliwa na shtaka la ubakaji watajua hatima yao Alhamisi uamuzi...
- by adminleo
- June 20th, 2019
Amekuwa jela miaka 28 baada ya mwanamke kuota kuwa alimbaka
MASHIRIKA Na PETER MBURU DENVER, COLORADO, AMERIKA MWANAMUME ambaye amekuwa jela kwa miaka 28 baada ya mwanamke kuota kuwa ndiye...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Shetani asisingiziwe kwa ubakaji – Hakimu
Na Kalume Kazungu HAKIMU katika mahakama ya Lamu amewataka wahalifu wakome kumsingizia shetani wanapovunja sheria. Hakimu Mkuu, Allan...
- by adminleo
- May 11th, 2019
DAU: Awapa kipazasauti waathiriwa wa ubakaji
Na PAULINE ONGAJI KAMA vitongoji duni vingine, Kibra hakijasazwa kutokana na visa vya dhuluma za kimapenzi hasa dhidi ya wasichana na...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
Madai ya visa vya ubakaji yaongezeka Gatundu Kaskazini
Na LAWRENCE ONGARO WANAWAKE wa kijiji cha Mutuma eneo la Gatundu Kaskazini wameungana pamoja kulalamikia hali mbaya na kuongezeka kwa...