• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 9:50 AM

Ndani kwa kubaka msichana usiku mzima

By WAWERU WAIRIMU Mahakama ya Isiolo imemfunga mwanamume wa miaka 68 kwa kumbaka msichana miaka miwili iliyopita. Gerald Murungi...

Mjerumani anayedaiwa kuchafua watoto wadogo azuiliwa siku 21

Na RICHARD MUNGUTI MZEE anayedaiwa kuwachafua, kuwabaka na kuwalawiti wavulana wenye umri mdogo atakaa rumande kwa siku 21 kuhojiwa na...

Polisi mafisi

Na WAANDISHI WETU VISA vya maafisa wa polisi kushambulia watoto wa kike na kuwanajisi vimeongezeka katika maeneo tofauti ya nchi siku za...

Asimulia mahakama alivyoleweshwa na kubakwa usiku kucha na dereva wa teksi

Na RICHARD MUNGUTI DEREVA wa magari ya teksi alifikishwa mahakamani Jumatatu akishtakiwa “kumgeuza kitoweo” mteja wake pale...

Sensa ya visanga

NA WAANDISHI WETU SHUGHULI ya kuhesabu watu inaingia siku ya tatu Jumatatu kukiwa na ripoti za visa tofauti katika maeneo mengi ya nchi....

Wachezaji wawili waliopatikana na hatia ya ubakaji kuhukumiwa Ijumaa ijayo

Na GEOFFREY ANENE na SAM KIPLAGAT WACHEZAJI wa zamani wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya, Alex Mahaga Olaba...

Ashangaza kumbaka mamake kusherehekea kuachiliwa kutoka jela

MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME kutoka Ukraine alimbaka mamake mzazi, kusherehekea baada ya kuachiliwa kutoka jela, alikokuwa...

Huenda wanaraga wakatupwa ndani miaka 15 kwa ubakaji

Na RICHARD MUNGUTI WACHEZAJI wa raga Frank Wanyama na Alex Mahaga wanaokabiliwa na shtaka la ubakaji watajua hatima yao Alhamisi uamuzi...

Amekuwa jela miaka 28 baada ya mwanamke kuota kuwa alimbaka

MASHIRIKA Na PETER MBURU DENVER, COLORADO, AMERIKA MWANAMUME ambaye amekuwa jela kwa miaka 28 baada ya mwanamke kuota kuwa ndiye...

Shetani asisingiziwe kwa ubakaji – Hakimu

Na Kalume Kazungu HAKIMU katika mahakama ya Lamu amewataka wahalifu wakome kumsingizia shetani wanapovunja sheria. Hakimu Mkuu, Allan...

DAU: Awapa kipazasauti waathiriwa wa ubakaji

Na PAULINE ONGAJI KAMA vitongoji duni vingine, Kibra hakijasazwa kutokana na visa vya dhuluma za kimapenzi hasa dhidi ya wasichana na...

Madai ya visa vya ubakaji yaongezeka Gatundu Kaskazini

Na LAWRENCE ONGARO WANAWAKE wa kijiji cha Mutuma eneo la Gatundu Kaskazini wameungana pamoja kulalamikia hali mbaya na kuongezeka kwa...