Tag: uda
- by T L
- March 7th, 2022
Mikakati ya UDA kuzuia kuhepwa
NA SIAGO CECE CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA), kimeanza kujizatiti kurudishia wafuasi wake imani baada ya kutorokwa na baadhi...
- by T L
- February 2nd, 2022
UDA yaondoa ada ya uteuzi kwa wanaoishi na ulemavu
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kimewaondolea ada za uteuzi Wakenya wanaoishi na ulemavu (PLWD) ambao...
- by T L
- January 31st, 2022
UDA walalama Ford Kenya inawahujumu
NA BRIAN OJAMAA WAWANIAJI wa viti tofauti kwa tiketi ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) kaunti ya Bungoma, wanamuomba Naibu...
- by T L
- December 12th, 2021
ODM kumenyana na UDA Bondeni
Na VITALIS KIMUTAI CHAMA cha ODM kinachoongozwa na aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga, kimepiga hatua na chatarajiwa kutoana jasho na...
- by T L
- December 4th, 2021
UDA yaondoa mamlakani maafisa walioteuliwa majuzi
Na KIPKOECH CHEPKWONY CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) chake Naibu wa Rais Dkt William Ruto kimetimua maafisa wake watano, mwezi...
- by T L
- October 18th, 2021
UDA yaanza kuyumba
Na ONYANGO K'ONYANGO CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA), chake Naibu Rais William Ruto, kimekumbwa na sintofahamu mpya...
Mipasuko UDA na Jubilee yaibua vyama vipya Mlimani
Na GITONGA MARETE KUPOROMOKA kwa chama cha Jubilee na mng’ang’anio wa tiketi katika chama kipya cha United Democratic Alliance (UDA)...
Mshirika wa karibu wa Shahbal ahamia UDA
NA MWANDISHI WETU Mwaniaji wa kiti cha Uwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Mombasa Bi Miraj Abdullahi sasa ameachana na mshirika wake...
CCM yakataa kuingia UDA
Na FRED KIBOR HATUA ya Naibu Rais Dkt William Ruto ya kutaka vyama vyote vinavyounga mkono azma yake ya kuingia ikuluni 2022 vivunjwe...
Wafuasi 13 wa UDA washtakiwa kwa ukiukaji wa kanuni za corona
Na George Odiwuor WAFUASI 13 wa chama cha UDA katika Kaunti ya Homa Bay, Jumatatu walipigwa faini ya Sh2,000 kila mmoja kwa kukiuka...
Ruto apigia debe mgombeaji wa UDA Kiambaa kupitia simu
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ametoa wito kwa wakazi wa eneobunge la Kiambaa kujitokeza kwa wingi mnamo Alhamisi, Julai 15,...
UDA yapigwa rafu Kiambaa
SIMON CIURI na WANDERI KAMAU CHAMA cha UDA Jumapili kilijipata kona mbaya katika eneobunge la Kiambaa, Kaunti ya Kiambu, baada ya hafla...