• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 5:39 PM

Mikakati ya UDA kuzuia kuhepwa

NA SIAGO CECE CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA), kimeanza kujizatiti kurudishia wafuasi wake imani baada ya kutorokwa na baadhi...

UDA yaondoa ada ya uteuzi kwa wanaoishi na ulemavu

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kimewaondolea ada za uteuzi Wakenya wanaoishi na ulemavu (PLWD) ambao...

UDA walalama Ford Kenya inawahujumu

NA BRIAN OJAMAA WAWANIAJI wa viti tofauti kwa tiketi ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) kaunti ya Bungoma, wanamuomba Naibu...

ODM kumenyana na UDA Bondeni

Na VITALIS KIMUTAI CHAMA cha ODM kinachoongozwa na aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga, kimepiga hatua na chatarajiwa kutoana jasho na...

UDA yaondoa mamlakani maafisa walioteuliwa majuzi

Na KIPKOECH CHEPKWONY CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) chake Naibu wa Rais Dkt William Ruto kimetimua maafisa wake watano, mwezi...

UDA yaanza kuyumba

  Na ONYANGO K'ONYANGO CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA), chake Naibu Rais William Ruto, kimekumbwa na sintofahamu mpya...

Mipasuko UDA na Jubilee yaibua vyama vipya Mlimani

Na GITONGA MARETE KUPOROMOKA kwa chama cha Jubilee na mng’ang’anio wa tiketi katika chama kipya cha United Democratic Alliance (UDA)...

Mshirika wa karibu wa Shahbal ahamia UDA

NA MWANDISHI WETU Mwaniaji wa kiti cha Uwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Mombasa Bi Miraj Abdullahi sasa ameachana na mshirika wake...

CCM yakataa kuingia UDA

Na FRED KIBOR HATUA ya Naibu Rais Dkt William Ruto ya kutaka vyama vyote vinavyounga mkono azma yake ya kuingia ikuluni 2022 vivunjwe...

Wafuasi 13 wa UDA washtakiwa kwa ukiukaji wa kanuni za corona

Na George Odiwuor WAFUASI 13 wa chama cha UDA katika Kaunti ya Homa Bay, Jumatatu walipigwa faini ya Sh2,000 kila mmoja kwa kukiuka...

Ruto apigia debe mgombeaji wa UDA Kiambaa kupitia simu

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ametoa wito kwa wakazi wa eneobunge la Kiambaa kujitokeza kwa wingi mnamo Alhamisi, Julai 15,...

UDA yapigwa rafu Kiambaa

SIMON CIURI na WANDERI KAMAU CHAMA cha UDA Jumapili kilijipata kona mbaya katika eneobunge la Kiambaa, Kaunti ya Kiambu, baada ya hafla...