• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 4:31 PM

Chelsea wapewa Real Madrid katika robo-fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Chelsea watakutana na wafalme mara 13 wa kipute hicho, Real Madrid katika...

Droo ya Klabu Bingwa Ulaya hatua ya 16-bora kufanywa upya muda mchache ujao baada ya kutokea kwa hitilafu za kiteknolojia leo mchana

Na MASHIRIKA DROO ya Klabu Bingwa Ulaya hatua ya 16-bora kufanywa upya muda mchache ujao baada ya kutokea kwa hitilafu za kiteknolojia leo...

UEFA: Fainali ya Man City na Chelsea kuandaliwa jijini Porto na kuhudhuriwa na mashabiki 12,000

Na MASHIRIKA FAINALI ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu kati ya Chelsea na Manchester City itachezewa mjini Porto, Ureno mnamo Mei...

UCL: Bayern na PSG kukabana tena

PARIS, Ufaransa Huku wakikabiliwa na kibarua kigumu cha kubadilisha kichapo cha 3-2 kutoka kwa Paris Saint-Germain (PSG) katika pambano...

UEFA Robo Fainali: Bayern vs PSG, Real Madrid vs Liverpool

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakutana na Real Madrid kwenye robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu. Manchester City wametiwa...

CORONA: Liverpool hawawezi kusafiri Ujerumani kwa mchuano wa UEFA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL hawataweza kusafiri hadi Ujerumani kwa mchuano wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16-bora ya Klabu Bingwa Ulaya...

Robert Lewandowski anusia rekodi ya Ronaldo ya kufunga mabao kwenye Uefa

Na CHRIS ADUNGO NYOTA Robert Lewandowski kwa sasa anajivunia kufungia Bayern Munich ya Ujerumani jumla ya mabao 53 kutokana na mechi 44...

Akida alenga soka ya UEFA

Na CHRIS ADUNGO LICHA ya kwamba shughuli za michezo bado zimesitishwa katika mataifa mengi duniani kutokana na virusi vya corona, mvamizi...

UEFA: Mipango ipo kukamilisha Champions League na Europa League Agosti 2020

CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA RAIS wa soka ya bara Ulaya (Uefa), Aleksander Cerefin, amesema kwamba shirikisho hilo lina “mipango...

CITY NDANI: Mambo mazuri kwa Manchester City

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza BAADA ya Manchester City kutinga hatua ya 16 Bora ya michuano ya Ligi ya Klabu Bingwa barani...

Hakuna Matata: Watanzania na Wakenya wazozana baada ya Dortmund kutumia Kiswahili Twitter

Na LEONARD ONYANGO WAKENYA na Watanzania wanazidi kurushiana cheche za maneno baada ya timu inayocheza ligi ya Bundesliga, Borussia...

Mane kushinda UEFA kwaipa Senegal motisha kufukuzia taji la Afcon

Na GEOFFREY ANENE WAPINZANI wa Kenya katika mechi za makundi za Kombe la Afrika, Senegal wamepata motisha ya kusema watafukuzia taji...