Tag: ufisadi
- by adminleo
- July 18th, 2019
Washukiwa wa ufisadi kuzimwa kuingia nchini Uingereza
Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya Uingereza inapanga kuwanyima ruhusa ya kuingia nchini humo Wakenya wanaohusishwa na ufisadi, balozi wa...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Zuma aapa kufichua waliomsaidia kumumunya mamilioni ya Afrika Kusini
Na PETER DUBE ALIYEKUWA rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameapa kuwa hatazama peke yake kwenye kesi za ufisadi zinazomkabili. Zuma...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Ufisadi ni hatari kuliko Ebola – Wabukala
Na BENSON AMADALA MWENYEKITI wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Askofu Mkuu (mstaafu) Eliud Wabukala amewataka Wakenya...
- by adminleo
- June 14th, 2019
Asasi za kupambana na ufisadi zatengewa fedha nyingi
Na WANDERI KAMAU SERIKALI Alhamisi ilionyesha juhudi za kuendelea kupigana na ufisadi baada ya kutenga kiasi kikubwa cha fedha kwa asasi...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Ujanja unaotumiwa na wafisadi kufilisisha serikali waanikwa
Na LEONARD ONYANGO MAAFISA wa serikali na wafanyabiashara wenye ushawishi sasa wanatumia raia na kampuni za kigeni kuiba fedha za umma...
- by adminleo
- May 27th, 2019
UFISADI: Magavana wataka ‘waheshimiwe’ wanapokamatwa
Na JUSTUS OCHIENG MAGAVANA wanataka "wapewe heshima" wakati wanapokamatwa kwa madai ya kuhusika kwenye kashfa za ufisadi. Kufuatia...
- by adminleo
- May 24th, 2019
Baba Yao alivyotolewa pumzi
BENSON MATHEKA, ERIC WAINAINA na MARY WAMBUI GAVANA wa Kiambu, Ferdinand Waititu Baba Yao, Alhamisi alikamatwa na maafisa wa Tume ya...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Ripoti yafafanua Uhuru hatafaulu kumaliza ufisadi
Na LEONARD ONYANGO AHADI za Rais Uhuru Kenyatta kwa Wakenya kila mara kuwa hatalegeza kamba kwenye vita dhidi ya ufisadi zitabakia kuwa...
- by adminleo
- May 19th, 2019
UFISADI: Rais asiyeweza kung’ata atisha tena
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta kwa mara nyingine ametoa vitisho vikali dhidi ya wanaohujumu vita vya kupambana na ufisadi. Ila...
- by adminleo
- May 8th, 2019
TAHARIRI: EACC na DCI zina meno ya kung’ata wafisadi
NA MHARIRI Wakenya wamechoshwa na wizi wa kila mara wa pesa za umma unaoripotiwa katika magazeti na vyombo vingine vya habari. Ufichuzi...
- by adminleo
- May 7th, 2019
Si Waititu pekee, bajeti za Ngilu na Oparanya pia zina utata
Na PETER MBURU BAADA ya ripoti kuhusu bajeti tata ya Kaunti ya Kiambu, ripoti sawa zinazidi kujitokeza katika kaunti zingine, nayo afisi...
- by adminleo
- May 5th, 2019
Raila apongeza kanisa la ACK kwa kukataa pesa za ufisadi
Na Victor Raballa KINARA wa ODM Raila Odinga amepongeza kanisa la ACK kwa msimamo wake dhidi ya kutumiwa vibaya na viongozi wafisadi....