Tag: uholanzi
- by T L
- November 14th, 2021
Uholanzi katika hatari ya kukosa kunogesha fainali zijazo za Kombe la Dunia
Na MASHIRIKA UHOLANZI walifungwa mabao mawili chini ya dakika 10 za mwisho wa kipindi cha pili katika mchuano wa Kundi G kufuzu Kombe la...
Uholanzi wacharaza Austria na kuingia 16-bora kwenye fainali za Euro
Na MASHIRIKA UHOLANZI walitinga hatua ya 16-bora kwenye kivumbi cha Euro baada ya kuchabanga Austria 2-0 katika mchuano wa Kundi C...
- by adminleo
- November 19th, 2019
Uholanzi kukosa difenda nguli inapokabili Estonia
Na MASHIRIKA AMSTERDAM, UHOLANZI BEKI Virgil van Dijk hatakuwa sehemu ya kikosi cha Uholanzi kitakachochuana leo Jumanne na Estonia...
- by adminleo
- September 6th, 2019
UJERUMANI KIGEZONI: Germany Machine yalia Uholanzi njama
Na MASHIRIKA BERLIN, Ujerumani UFUFUO wa timu ya Ujerumani utakabiliwa na mtihani wake wa kwanza bila winga wa Manchester City, Leroy...
- by adminleo
- June 11th, 2019
MIAMBA: Ureno yakanyaga Uholanzi na kutwaa taji la Uefa Nations League
Na MASHIRIKA PORTO, URENO URENO walijinyakulia taji la pili la haiba kubwa chini ya kipindi cha miaka mitatu baada ya kuwapepeta...
- by adminleo
- June 8th, 2019
MASKINI! Uingereza yalimwa gozi la UEFA Nations League
Na MASHIRIKA GUIMARAES, Ureno UINGEREZA itaendelea kusubiri zaidi kupata taji lake la kwanza tangu mwaka 1966 baada ya Uholanzi...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Ujerumani yalaza Uholanzi mechi ya kufuzu Euro
Na MASHIRIKA ARMSTERDAM, UHOLANZI KOCHA Ronald Koeman wa Uholanzi amesema anajutia kutofanyia kikosi chake mabadiliko muhimu mwishoni mwa...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Waholanzi sasa ndio wateja wakuu wa bidhaa za Kenya
Na BERNARDINE MUTANU TAIFA la Uholanzi limekuwa mwagizaji wa pili mkubwa zaidi ya bidhaa za Kenya, kwa kuipiku Uganda ambayo awali...