• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 5:22 PM

Serikali yanyonga wanyonge

Na PAUL WAFULA MAISHA ya Wakenya yatakuwa magumu zaidi hivi karibuni baada ya serikali ya Jubilee kuruhusu Shirika la Fedha Duniani...

Uhuru ashauriwa kuiga Kibaki

Na TITUS OMINDE ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Dayosisi ya Eldoret, Dominic Kimengich amemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuiga njia ambayo...

Hesabu za Uhuru 2022 zamkosesha usingizi

Na MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta ako na kibarua kigumu cha kujipa ushawishi wa kuamua mwelekeo wa urithi wa 2022 huku akisukumwa na...

Wanasiasa wa Mlima Kenya walia ‘kunyanyaswa’ na rais

Na JAMES MURIMI BAADHI ya viongozi wa kisiasa kutoka eneo la Kati wamelalamika kuwa Rais Uhuru Kenyatta anazima vyama vidogo vya kisiasa...

Raila, Uhuru waamua kupimana nguvu Kisii

WYCLIFFE NYABERI na RUTH MBULA VIONGOZI wa vyama vya Jubilee na ODM, wameamua kuweka kando umoja wao uliotokana na handisheki ili...

Wanaomezea ‘tosha’ ya Uhuru

Na MWANGI MUIRURI HATUA ya mawaziri kadhaa kujitokeza wazi kutaka mmoja wao awe rais ifikapo mwaka wa 2022, imeongeza idadi ya kambi...

Rais azima mikutano mikubwa ya kisiasa kwa siku 30

Na MWANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta amepiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa muda wa siku 30 zijazo kama sehemu ya kuangazia upya...

Taabani kwa kutisha kumuua Rais Kenyatta

Na SIMON CIURI MWANAMUME mmoja Jumatatu alifikishwa katika mahakama ya Kiambu akidaiwa kutisha kumuua Rais Uhuru Kenyatta ikiwa angepata...

Uhuru aomba talaka

Na BENSON MATHEKA TOFAUTI kati ya Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto zinaendelea kuongezeka kiasi cha rais kumtaka Dkt Ruto...

MIIBA TELE MBELE YA UHURU

Na MWANGI MUIRURI JUHUDI za Rais Uhuru Kenyatta kutuliza uhasama dhidi ya mipango anayonuia kutimiza kabla ya kuustaafu hapo 2022,...

Uhuru awasha upya moto mkali ngomeni mwake

Na MWANGI MUIRURI MATAMSHI ya Rais Uhuru Kenyatta kwamba atatumia ushawishi wake kuhakikisha mahasimu wake Mlima Kenya hawaingii...

Rais Kenyatta njia panda akikutana na viongozi Mlimani leo Jumamosi

Na WANDERI KAMAU WAKENYA wameelekeza macho yote kwa Rais Uhuru Kenyatta kuona ikiwa ataweza kuhimili baadhi ya changamoto za kisiasa na...