• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 3:04 PM

NDIO! HAPA WIZI TU

NA WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta amekiri kuwa uporaji pesa ndani ya serikali yake ni wa kiwango cha kutisha.Akizungumza jana asubuhi...

Sibabaishwi na matusi yenu, Uhuru awaambia Tangatanga

Na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu amevunja kimya chake kuhusu tetesi za kundi la Tangatanga linalokosoa matamshi yake...

Uhuru atandika Ruto 3-0

Na BENSON MATHEKA MPANGO wa Naibu Rais William Ruto (kwenye picha) kushindana na Rais Uhuru Kenyatta kudhibiti jiji kuu la Nairobi...

Mwanamume wa familia ya Rais Kenyatta auawa Gatundu

Na MARY WAMBUI WAPELELEZI wanachunguza kisa cha mauaji tatanishi ya Joseph Njuguna Mbeca, jamaa wa marehemu Chifu Mkuu Muhoho...

CHARLES WASONGA: Ni aibu sana Rais na Naibu wake wake kupakana tope hadharani

Na CHARLES WASONGA ILIKUWA makosa makubwa kwa Naibu Rais William Ruto kumjibu hadharani bosi wake, Rais Uhuru Kenyatta, kufuatia kauli...

Uhuru anguruma, aashiria atamruka Ruto urais 2022

DERRIC LUVEGA na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta ametoa ishara kubwa kwamba huenda hatamuunga mkono naibu wake, Dkt William Ruto kwa...

Pigo kuu kwa Raila Uhuru akishindwa kudhibiti Mlima Kenya

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Rais Uhuru Kenyatta kushindwa kudhibiti eneo la Mlima Kenya imezua tumbojoto katika kambi ya kiongozi wa ODM...

Baadhi ya watumiaji mitandao ya kijamii wakosoa Uhuru kuzidisha kafyu tena

Na JUMA NAMLOLA WAKENYA na baadhi ya watumiaji mitandao ya kijamii walikosoa vikali hatua ya Rais Uhuru Kenyatta kuongeza muda wa watu...

Uhuru awaruka Wakenya kuhusu ushuru nafuu

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliruka ahadi yake kwa Wakenya kuwa ushuru wa VAT ungesalia asilimia 14 hadi Juni 30...

Rais Kenyatta aagiza wadau muhimu wahakikishe wanafunzi wote wanarejea shuleni Januari

Na SAMMY WAWERU YAMEBAKI majuma machache tu shule zote na taasisi za elimu ya juu nchini zifunguliwe tena na kwenye hotuba yake kwa...

Rais Kenyatta amwokoa Leonard Mambo Mbotela

Na CHARLES WASONGA HATIMAYE mtangazaji mashuhuri Leonard Mambo Mbotela Jumamosi, Novemba 14, 2020, aliruhusiwa kuondoka Hospitali ya The...

Ahadi juu ya ahadi

CHARLES WASONGA na VALENTINE OBARA HOTUBA ya Rais Uhuru Kenyatta bungeni jana kuhusu hali ya taifa,ilisheheni msururu wa ahadi huku zile...