Tag: ukimwi
- by T L
- December 2nd, 2021
Idadi ya wanaotumia ARVs yapanda kwa asilimia 83 – Rais
ERIC MATARA na COLLINS OMULLO IDADI ya watu wanaotumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa wa Ukimwi imeongezeka kwa asilimia...
- by T L
- December 1st, 2021
Siku ya Ukimwi Duniani: Vijana washauriwa wawe mstari wa mbele kuelimisha jamii kuhusu Ukimwi
Na LAWRENCE ONGARO VIJANA wameshauriwa kujiepusha na vitendo vya ngono kiholela ili waepuke Ukimwi na magonjwa mengine ya...
- by T L
- November 26th, 2021
Hofu Ukimwi ukisambaa kwa kasi miongoni mwa watumiaji mihadarati
Na ALEX KALAMA BARAZA la Kitaifa la Kudhibiti Ukimwi (NACC) limeeleza wasiwasi kuhusu ongezeko la ueneaji wa ugonjwa huo miongoni mwa...
Tahadhari yatolewa kuhusu vifaa ghushi vya kupima Ukimwi
Na ANGELINE OCHIENG TAHADHARI imetolewa kuhusu kuibuka kwa vifaa ghushi vya kufanyia vipimo vya virusi vya Ukimwi ambavyo vimeingizwa...
Anatumia mitandao ya kijamii kuhamasisha umma kuhusu Ukimwi
Na JOHN KIMWERE NI mwalimu wa dini katika Kanisa la Bethlehem Judah Restoration, linalopatikana Bombolulu Kisimani steji, Mombasa,...
Mashirika yatetea wauguao Ukimwi
NA DIANA MUTHEU MASHIRIKA ya kibinafsi yanayowashughulikia wagonjwa wa virusi vya ukimwi yanaitaka serikali ya kaunti ya Mombasa iwape...
- by adminleo
- December 4th, 2019
WHO yahimiza Wake wa Marais Afrika wayakabili maradhi hatari sana
Na AFP KIONGOZI wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus, mnamo Jumatatu aliwahimiza Wake wa Marais barani Afrika...
- by adminleo
- November 28th, 2019
Vifo kutokana na Ukimwi vyapungua kwa asilimia kubwa nchini Kenya
Na LAWRENCE ONGARO MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi yamepungua kwa kiwango kikubwa sawa na vifo, utafiti uliofanywa majuzi...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SHINA LA UHAI: HIV mkuki kwa vijana, kunaendaje?
Na PAULINE ONGAJI KAMA watoto wengine wa kawaida wanaolelewa kijijini kuliko na maisha magumu, ndoto yake Kimutai Kemboi, 28 ilikuwa...
- by adminleo
- September 23rd, 2019
Hofu HIV kuongezeka wakazi kukataa kondomu
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imeeleza hofu kuhusu idadi kubwa ya wakazi na wageni ambao hawapendi kutumia mipira ya...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Ushoga waeneza Ukimwi magerezani
MARY WANGARI Na ANGELA OKETCH IDADI kubwa ya wafungwa katika magereza ya Kenya wameambukizwa Ukimwi kutokana na kuongezeka kwa visa vya...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Serikali kukagua wanaume kubaini ikiwa wametahiriwa
NA GEORGE ODIWUOR SERIKALI kuanzia Jumatatu itaanza kuchunguza nyeti za wanaume ikiwa wametahiriwa, katika kaunti nne za eneo la...