Tag: ukumbi wa lugha
- by adminleo
- March 28th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Alama za uakifishaji ambazo kila mwandishi anapaswa kuzifahamu
Na MARY WANGARI TUMEKUWA tukitathmini kuhusu uandishi wa kiubunifu. Katika makala ya leo tutaangazia kuhusu dhana na dhima ya...
- by adminleo
- August 7th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Vigezo muhimu katika ufunzaji wa ama Riwaya au Tamthilia
Na WANDERI KAMAU UFUNDISHAJI wa riwaya na tamthilia au fasihi yoyote unahitaji mwongozo wa nadharia fulani ya uhakiki. Kimsingi,...
- by adminleo
- July 13th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Dhana ya tamathali za usemi katika mawasiliano
Na MARY WANGARI KWA mujibu wa Ogechi (2002:12), tunawasiliana ili kuwaathiri wengine. Kwa mfano, matumizi ya vibonzo katika magazeti...
- by adminleo
- July 13th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mchakato wa mawasiliano, nyenzo na aina za mawasiliano
Na MARY WANGARI MTUMA-UJUMBE au ukipenda mzungumzaji ana habari ambayo angependa kuiwasilisha na anaufuma ujumbe katika ishara kisha...
- by adminleo
- June 22nd, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Tofauti za upataji wa lugha ya kwanza na lugha ya pili na maandalizi ya mbinu za ufundishaji
Na MARY WANGARI KUNA tofauti kubwa kati ya upataji wa lugha ya kwanza na lugha ya pili. Kila mtu ana lugha ya kwanza. Wataalamu wanaounga...
- by adminleo
- May 30th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Sababu za kuchanganya au kubadili msimbo katika lugha ya Kiswahili
Na MARY WANGARI HUMSAIDIA mzungumzaji kujieleza vizuri kwa lengo la kufidia upungufu wa msamiati. Upungufu huu unaweza kutokana na...
- by adminleo
- May 14th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Kiini cha makosa katika lugha
Na MARY WANGARI Tatizo la Msamiati HALI hii hutokea kwa sababu ya ugeni wa dhana au fikra katika lugha ya Kiswahili. Kwa...