Tag: ulaghai
- by T L
- December 9th, 2021
Mmiliki wa Hoteli kukamatwa kwa ulaghai wa Sh.520Milioni
Na RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa msururu wa mahoteli ya Nyamama yaliyoko kaunti ya Nairobi jana aliagizwa akamatwe na kushtakiwa kwa...
- by T L
- November 10th, 2021
Washukiwa 16 wakamatwa kwa kuitisha wakazi Mukuru pesa
Na SAMMY KIMATU NAIROBI WATU 16 walikamatwa kwa kushukiwa kuwatoza raia pesa kwa lazima katika mitaa ya mabanda katika kaunti ya...
Mshukiwa wa ulaghai wa mamilioni azuiwa kusafiri
Na RICHARD MUNGUTI IDARA ya Uhamiaji Jumanne iliamriwa imzuie David Kahi Ambuku kusafiri, mshukiwa aliyetoroka kesi ya upokeaji zaidi ya...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Mkurugenzi wa kampuni ya kuuza vipande vya ardhi ashtakiwa kwa ulaghai wa Sh4.5 milioni
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa kampuni moja ya kuuza vipande vya ardhi katika Kaunti ya Kiambu ameshtakiwa kwa kupokea kwa njia ya...
- by adminleo
- June 5th, 2020
Imwatok ashtakiwa kwa ulaghai
By RICHARD MUNGUTI Kiongozi wa Wachache Bunge la Kaunti ya Nairobi Peter Imwatok alishtakiwa kwa kumtapeli mwanabiashara mmoja Sh2.1...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Watapeli kwa jina la Rais
Na DAVID MWERE AFISI ya Rais imelalamika vikali kwamba wanasiasa, wafanyibiashara, makatibu wa wizara na maafisa wengine wa umma...
- by adminleo
- September 8th, 2019
Ndani kwa kutumia bintiye kutapeli watalii
Na BRIAN OCHARO MWANAMKE mmoja kutoka Mtwapa, Kaunti ya Kilifi anachunguzwa kwa madai ya kutumia mwanawe kutafuta riziki kwa raia wa...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Mhispania kizimbani kwa kumlaghai Mwitaliano Sh14m
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA wa kimataifa ambaye ameishi humu nchini kwa mwongo mmoja alishtakiwa Jumtatu kwa kushiriki katika...
- by adminleo
- February 24th, 2019
ULAGHAI: Gakuyo alivyotumia injili kuwapunja wawekezaji
Na PETER MBURU MAELFU ya Wakenya ambao waliingia kwenye mtego wa kuwekeza katika shirika la ‘Ekeza’, walivutiwa na sura ya dini...
- by adminleo
- February 4th, 2019
Vyama vya ushirika Thika vichunguzwe, asema afisa
Na LAWRENCE ONGARO AFISA mmoja kutoka Thika anaitaka serikali kuchunguza kwa makini vyama vya ushirika vinavyochipuka...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Wakurugenzi kizimbani kwa ulaghai wa shamba la Sh54 bilioni
NA RICHARD MUNGUTI WAKURUGENZI wawili wa kampuni ya ununuzi wa mashamba walishtakiwa kupokea mamilioni ya pesa wakidanganya watawauzia...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
AKILIMALI: Kijana alivyotumia teknolojia kuwazima mabroka wapunjaji
NA FAUSTINE NGILA FRANCIS Odoyo alijikuna kichwa kwa muda mrefu kila alipowaona wafanyabiashara wa nyanya kutoka kaunti za Siaya, Migori...