• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 10:55 AM

Maskini kuongezeka hadi milioni 490 barani Afrika

Na MASHIRIKA KAMPALA, Uganda IDADI ya maskini inatarajiwa kuongezeka barani Afrika katika miaka 10 ijayo, kulingana na ripoti ya...

Nairobi, kaunti za Mlima Kenya zaorodheshwa tajiri zaidi Kenya

Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine Nairobi na kaunti za Mlima Kenya zimeorodheshwa kama tajiri zaidi kulingana na takwimu zilizotolewa...

Serikali yatoa Sh8.7 bilioni kusaidia familia maskini

Na WINNIE ONYANDO SERIKALI imetoa Sh8.7 bilioni Jumatano chini ya mpango wa Inua Jamii kama msaada kwa familia zisizojiweza hasa katika...

‘Sauti ya Mnyonge’ anayeendeleza ndoto ya kutetea maskini nchini akiwa Iceland

Na BENSON MATHEKA ALILAZIMIKA kuondoka Kenya akidai kwamba maisha yake yalikuwa hatarini kwa sababu ya kutetea haki za...

Raila aonya BBI ikipuuzwa umaskini utaongezeka Kenya

Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, ameonya kuwa mizozo iliyoshuhudiwa baina ya viongozi kuhusu ugavi wa...

Tathmini ya KNBS yaonyesha viwango vya juu vya umaskini Kenya

Na CHARLES WASONGA ZAIDI ya nusu ya Wakenya wanaishi katika lindi la umaskini, kulingana na matokeo ya tathmini ya kipekee iliyofanywa...

Maskini kupigwa kiboko

Na CHARLES WASONGA WATU wanaoishi katika kaunti maskini za Pwani, Kaskazini Mashariki na Ukambani wataendelea kuzama kwenye uchochole...

CORONA: Maskini Nairobi kulipwa na serikali

Na VALENTINE OBARA WAKAZI wa jiji la Nairobi wasiojiweza kimapato watapokea msaada wa kifedha kila wiki kutoka kwa serikali kuu,...

Umaskini wazidi kutafuna Waafrika

Na PETER MBURU UCHUMI wa bara la Afrika unazidi kukua lakini hauwafaidi mamilioni ya Waafrika maskini, Benki ya Maendeleo ya Afrika...

Ajabu ya matajiri wa mahindi kumezwa na ufukara

Na BARNABAS BII WAKULIMA wengi wa mahindi katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa wanaishi katika hali ya umaskini licha ya kupata...

Mabwanyenye wachache wanamiliki 80% ya utajiri Nairobi na Mombasa – Utafiti

Na BERNARDINE MUTANU WAKAZI wachache wa Nairobi na Mombasa ndio matajiri zaidi nchini Kenya kulingana na utafiti wa hivi punde. Utafiti...