Tag: uopoaji
- by adminleo
- October 29th, 2019
Hofu feri ikitoboka chini
Na MWANDISHI WETU FERI iliyosababisha kuzama kwa gari na kufariki kwa mwanamke na bintiye wiki chache zilizopita, mnamo Jumapili...
- by adminleo
- October 14th, 2019
KURUNZI YA PWANI: Uchunguzi kubaini gari lilivyozama Likoni waanza
Na MOHAMED AHMED MAAFISA wa upelelezi wanajaribu kutegua kitendawili kuhusiana na ajali ya gari lililotumbukia katika Bahari Hindi...
- by adminleo
- October 12th, 2019
Hatimaye gari na miili ya mwanamke na bintiye yaondolewa baharini
Na MISHI GONGO BAADA ya Wakenya kusubiri kwa siku 13, gari lililotumbukia katika Bahari Hindi kutoka feri kwenye kivuko cha Likoni,...
- by adminleo
- October 10th, 2019
Oguna awaomba raia, wanahabari kuwa na subira shughuli ya uopoaji ikiendelea
Na MISHI GONGO RABSHA zimetokea katika kivuko cha feri Likoni baada ya umati uliofika eneo hilo kufuatilia shughuli ya uopoaji wa gari...
- by adminleo
- October 9th, 2019
Uopoaji: Wapigambizi sasa kuweka zingatio kwa sehemu ya umbali wa mita 300 baharini
Na MISHI GONGO SHUGHULI ya kutafuta gari na kuopoa miili ya mwanamke na mwanawe waliozama Septemba 29, 2019, katika Bahari Hindi...
- by adminleo
- October 7th, 2019
Serikali yatii Raila
Na MISHI GONGO na DPPS SERIKALI inajitahidi kutekeleza amri iliyotolewa Jumamosi na Kiongozi wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga kwamba...