Tag: urusi 2018
- by adminleo
- July 12th, 2018
Wakenya wakerwa na wabunge kulipiwa mamilioni kutazama fainali Urusi
Na WYCLIFFE MUIA WAKENYA Alhamisi walieleza ghadhabu kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuibuka kuwa wabunge 14 na maseneta sita...
- by adminleo
- June 28th, 2018
Colombia yazima tumaini la Afrika Kombe la Dunia
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya mwisho ya Afrika, Senegal imeondolewa kwenye Kombe la Dunia linaloendelea nchini Urusi baada ya kuzabwa 1-0 na...
- by adminleo
- June 25th, 2018
Kipa wa Misri mwenye miaka 45 aweka historia
Na GEOFFREY ANENE Ni rasmi kipa wa Misri, Essam El-Hadary ni mchezaji mzee kuwahi kushiriki Kombe la Dunia baada ya kuanzishwa na...
- by adminleo
- June 25th, 2018
Kiatu cha Dhahabu: Nani atambwaga Harry Kane?
Na GEOFFREY ANENE MUINGEREZA Harry Kane anaongoza vita vya kushinda Kiatu cha Dhahabu katika Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini...
- by adminleo
- June 25th, 2018
Kufa kupona: Mikel kuchezeshwa akiwa na jeraha dhidi ya Argentina
Na GEOFFREY ANENE NAHODHA wa Nigeria, John Obi Mikel anatarajiwa kucheza mechi ya Argentina hapo Jumanne akivalia plasta baada ya...
- by adminleo
- June 25th, 2018
URUSI 2018: Ahadi ya pesa ilivyochochea Nigeria kuiyeyusha Iceland
Na GEOFFREY ANENE SUPER Eagles ya Nigeria ilipata msukumo wa kudhalilisha Iceland kutokana na ahadi ya Sh5,045,225 (Naira 18 milioni) kwa...
- by adminleo
- June 19th, 2018
The Lions of Teranga watafuna na kumeza Lewandowski na wenzake
Na CECIL ODONGO HATIMAYE bara zima la Afrika limenguruma, vigelegele vimetanda kote barani miongoni mwa mashabiki kindakindaki wa mchezo...
- by adminleo
- June 19th, 2018
Teranga Lions, timu pekee iliyosalia kuokoa Afrika Urusi
Na CECIL ODONGO JE, mbona mataifa yanayowakilisha Bara Afrika katika Kombe la Dunia mwaka huu yanasuasua ama ni kutokana na kiwango duni...
- by adminleo
- June 15th, 2018
Ni kicheko tu kwa Morocco kuona Saudia ikinyeshewa 5-0 na Urusi
Na GEOFFREY ANENE SAA chache baada ya Saudi Arabia kukosa kipigia kura ya kuamua mwenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2026, Morocco...
- by adminleo
- June 14th, 2018
URUSI 2018: Fahamu vikosi vya timu zote zinazocheza fainali
Na CHRIS ADUNGO KUFIKIA Mei 28, 2018 mataifa yote 32 yatakayonogesha fainali za Kombe la Dunia mwaka huu yalikuwa yametoa orodha za...
- by adminleo
- June 13th, 2018
URUSI 2018: Ujerumani kukaa ange kutetea ubingwa
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Ujerumani ni miongoni mwa mataifa yatakayoelekezewa jicho la karibu sana nchini...
- by adminleo
- June 13th, 2018
URUSI 2018: Mastaa watakaonogesha dimba
Na CHRIS ADUNGO WAKATI kipenga cha kuashiria mwanzo wa fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi kitakapopulizwa rasmi Alhamisi, wadadisi...