Tag: usalama
- by T L
- November 29th, 2021
Usalama: Wakuu wahakikishia raia
Na KNA KAMATI ya usalama katika Kaunti ya Mombasa, imehakikishia wakazi na wawekezaji kuwa kuna mipango ya kutosha ya ulinzi...
- by T L
- October 31st, 2021
Ukosefu wa usalama umezima maendeleo, wakazi walalamika
Na OSCAR KAKAI Wakazi katika eneo la Chesegon kwenye mpaka wa Kaunti za Pokot Magharibi na Elgeyo Marakwet wameitaka serikali kutatua...
Serikali yakiri kudaiwa Sh16m za usalama wa baharini
Na WINNIE ATIENO SERIKALI imeungama kudaiwa Sh16 milioni na kampuni ya Ufaransa ambayo hutoa huduma za usalama wa baharini. Waziri wa...
Matiang’i aahidi kukomesha utekaji nyara nchini
Na NDUNGI MAINGI Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i, ameahidi kukabiliana na visa vya utekaji nyara ambavyo vimeongezeka...
Usalama waimarishwa katika mpaka wa Kenya na Somalia watahiniwa wakifanya KCPE
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI imeimarisha usalama kwenye mpaka wa Kenya na Somalia wakati huu ambapo mtihani wa kitaifa wa Darasa la Nane...
Maeneo hatari kwa usalama Mathare yaorodheshwa
Na SAMMY KIMATU MATHARE OFISA mmoja katika kaunti ya Nairobi ametaja maeneo hatari kwa usalama usiku na mchana kwa wanaotembea kwa...
Kwa kila tone la mvua, wakazi wahofia usalama wao
NA PAULINE ONGAJI Ni picha inayonata macho pindi unapofika eneo la Shamakhokho kwenye makutano ya barabara za Serem na Hamisi. Nyumba ya...
Matiang’i apotosha kuhusu uhalifu
Na WANDISHI WETU WATU kadhaa nchini wanauguza majeraha waliyopata mkesha wa Krisimasi licha ya Waziri wa Usalama, Fred Matiang’i...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Kenya yapata kiti muhimu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
NA AGGREY MUTAMBO KENYA imepata kiti muhimu cha uanachama usio wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya kuishinda...
- by adminleo
- June 16th, 2020
WAJIR: Kutoaminiana baina ya vikosi vya usalama na wakazi wa Khorof Harar kunahujumu usalama
Na FARHIYA HUSSEIN SUALA la kutoaminiana baina ya vikosi vya usalama na wakazi wa Khorof Harar katika Kaunti ya Wajir limeonekana kama...
- by adminleo
- February 21st, 2020
Agizo magari Kaskazini yasisafiri bila ya polisi
JACOB WALTER, MERCY MWENDE na MANASE OTSIALO SERIKALI imeamuru kwamba magari yote ya umma yanayotoka au kuelekea Kaskazini Mashariki...
- by adminleo
- January 28th, 2020
Hali ya usalama yazorota kijijini Kwambira, Limuru
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Kwambira mjini Limuru wanataka usalama uimarishwe haraka iwezekanavyo. Wakazi hao wanasema...