• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 10:06 AM

Msanii wa Rhumba awapa wakazi barakoa

NA CHARLES ONGADI, MTWAPA, KILIFI SHUGHULI za kawaida zilisimama kwa muda mjini Mtwapa kaunti ya Kilifi baada ya mwanamuziki maarufu...

NEOLIN MOMANYI: Hongera NMG kwa kujitolea kuangazia masuala ya wasanii

Na JOHN KIMWERE MWANZO wa ngoma kila mja hujipa matumaini ambapo huwa ni hali ya kutarajia. Ni katika kutumainia na kuvumilia ambapo ana...

Nairobi kunoma, asimulia rapa Majirani

NA TOM MATIKO UNAMKUMBUKA rapa Majirani aliyetoka nyuma kidogo na hiti kama Tukumbukeko na Hivyo Ndio Kunaendaga?? Majirani kaamua...

ALAINE NJOROGE: Ndoto yangu ni kuwa rubani

Na JOHN KIMWERE WAHENGA waliposema kuwa dalili ya mvua ni mawingu kweli hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa. Katika masuala ya...

DJ CUTS: Namshukuru Mola kunifungulia njia ya kuwatumbuiza Wamarekaniusanii

Na JOHN KIMWERE ALIANZA kama mzaha lakini sasa ni kati ya madijei wanaotikisa anga la muziki wa burudani jijini Washington DC, Marekani....

Rosebell Owiti: Anawasaidia wasanii wenzake msimu wa corona

Na DIANA MUTHEU UNAPOINGIA katika lango la Studio BelaBela ambalo liko umbali wa karibia mita mia mbili kutoka kwa duka kuu la Naivas,...

Mchoraji kwa zaidi ya miaka 30, ubunifu wa kipekee umempa riziki ya maana

Na DIANA MUTHEU “Nikiwa darasa la kwanza, mimi ndiye nilikuwa mchoraji bora wa magari shuleni kwetu,” George Karanja Mwenja, 56,...

Msanii atumia muziki kutuliza wagonjwa hospitalini

Na PAULINE ONGAJI Anatumia muziki kuwatuliza wagonjwa waliolazwa hospitalini. Ni kazi ambayo Bw Willis Ochieng amekuwa akifanya kwa...

LOSFOU: Nalenga kumfikia Diamond Platnumz

Na JOHN KIMWERE 'MGAAGAA na upwa hali wali mkavu,' ni methali inayohimiza wanadamu wasiwahi vunjika moyo kwenye jitihada za kutaka...

Msanii Omondi Long Lilo kuzikwa leo

NA DICKENS WESONGA Mwanamziki maarufu wa Benga Erick Omondi Odit anayejulikana kwa jina la kisanii Omondi Long Lilo atazikwa Ijumaa...

Uchoraji riziki tosha kwake

Na PETER CHANGTOEK AMEKUWA akishughulika na shughuli ya uchoraji kwa muda wa mwongo mmoja sasa. Licha ya kuishi karibu na mtaa wa...

SUSAN NJOROGE: Sipendi raha za dunia

Na JOHN KIMWERE NI miongoni mwa wasanii wanaoibukia katika ulingo wa burudani ya nyimbo za kumtukuza Mungu. Talanta yake ilitambuliwa...