Tag: USHOGA
Waislamu walaani MUHURI kuajiri ‘mtetezi wa mashoga’
Na FARHIYA HUSSEIN JAMII ya Waislamu nchini imeomba Baraza Kuu la Waislamu la Kenya (SUPKEM) liingilie kati kuhusu uamuzi wa shirika la...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Hatutakubali ushoga wala usagaji hapa Kenya – Kinuthia
Na MWANGI MUIRURI NAIBU Waziri wa Elimu Zack Kinuthia Jumatatu alisema kuwa serikali ya Kenya kamwe haitawahi kukubali shinikizo za...
- by adminleo
- July 20th, 2020
Mkazi ashangaza wanakijiji kufukuza mkewe aishi na mume mwenzake
Na OSBORN MANYENGO MWANAMUME katika Kaunti Ndogo ya Kiminini, Kaunti ya Trans-Nzoia ameshangaza wanakijiji kwa kumtimua mkewe wa muda...
- by adminleo
- February 15th, 2020
Rais wa Senegal asema nchi hiyo hairuhusu ushoga
Na MASHIRIKA DAKAR, SENEGAL RAIS wa Senegal Macky Sall ametetea hatua ya taifa lake kupiga marufuku mapenzi baina ya watu wa jinsia...
- by adminleo
- December 30th, 2019
Ushoga: Wazee kutakasa Mlima
Na JOSEPH WANGUI WAZEE wamepanga kufanya maombi maalumu kutakasa Mlima Kenya, wakidai ulichafuliwa wakati makundi ya mashoga...
- by adminleo
- December 28th, 2019
Waigizaji washambuliwa kuhusisha Yesu na ushoga
Na MASHIRIKA WAIGIZAJI wanne waliponea kifo chupuchupu baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana kwa kutoa filamu ya kumdunisha Yesu...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Serikali, dini zapinga mada za ushoga katika kongamano
GEORGE SAYAGIE, CECIL ODONGO NA SHABAN MAKOKHA NAIBU Rais Dkt William Ruto jana alipinga hoja yoyote kujadiliwa kuhusu ushoga kwenye...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Ushoga waeneza Ukimwi magerezani
MARY WANGARI Na ANGELA OKETCH IDADI kubwa ya wafungwa katika magereza ya Kenya wameambukizwa Ukimwi kutokana na kuongezeka kwa visa vya...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Mashirika ya kutetea ushoga hatarini kufungwa
Na DAVID MWERE MASHIRIKA ya kigeni yanayotetea ushoga nchini yamo hatarini kupigwa marufuku, baada ya wabunge kuanzisha uchunguzi kuhusu...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Msagaji asakwa kwa kuchoma nyumba 40 kwenye mzozo wa ushoga
Na BENSON MATHEKA POLISI jijini Nairobi, wanamsaka mwanamke anayeshukiwa kuwasha moto ulioteketeza zaidi ya nyumba 40 mtaani Kibra...
- by adminleo
- June 30th, 2019
Mombasa yawataka wakazi kukoma kuwabagua makahaba na mashoga
Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya kaunti ya Mombasa imeanza kuwahudumia makahaba, wapenzi wa jinsia moja na huntha (watu wenye sehemu mbili...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Mahakama yakubali kutazama filamu ya ushoga na usagaji
Na SAM KIPLAGAT SINEMA marufuku ya "Rafiki" ambayo ilizua utata kwa madai inaeneza ushoga, sasa itatazamwa kortini kama sehemu ya...