Tag: ushuru
- by adminleo
- September 10th, 2019
Moroto apendekeza KRA ikusanye ushuru katika kaunti
Na OSCAR KAKAI MBUNGE wa Kapenguria Bw Samuel Moroto ametoa wito kwa halmashauri ya ukusanyaji ushuru nchini (KRA) ichukue jukumu la...
- by adminleo
- September 6th, 2019
Mfanyabiashara wa Mombasa anaswa kwa kukwepa ushuru
Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA) na Idara ya Upelekezi wa Jinai (DCI) Ijumaa zimeendeleza operesheni za...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Kinaya Sportpesa kutuzwa na serikali kisha kuzimwa
Na VALENTINE OBARA NIA halisi ya serikali kupiga marufuku kampuni za uchezaji kamari nchini, imeanza kutiliwa shaka kutokana na maelezo...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Hatimaye Bamburi yailipa KRA ushuru wa Sh332 milioni
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya saruji ya Bamburi imeilipa Mamlaka ya Kukusanya Ushuru (KRA) mamilioni baada kuzozana kwa miaka mingi...
- by adminleo
- May 10th, 2019
KRA yamulika wafanyabiashara wa mitandaoni
Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA) imetaka wafanyabiashara wanaondesha shughuli zao mitandaoni kulipa ushuru...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Wakurugenzi wa Platinum Distillers washtakiwa kukwepa kulipa ushuru
Na RICHARD MUNGUTI WAKURUGENZI wanne wa kampuni inayotengeneza mvinyo mjini Ruiru, Kiambu iliyofungwa Februari wameshtakiwa kwa kukwepa...
- by adminleo
- March 14th, 2019
TAHARIRI: Nyongeza ya ushuru iwafae Wakenya
NA MHARIRI MAMLAKA ya Ushuru Nchini (KRA) imetoa mapendekezo mapya yanayolenga kuwatoza Wakenya ushuru zaidi pamoja na kuweka mikakati...
- by adminleo
- February 8th, 2019
Uhuru ataka mfumo mmoja wa ukusanyaji mapato na ushuru
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amezitaka Tume ya Ugavi wa Mapato (CRA), Baraza la Magavana Nchini (CoG) na Mamlaka ya Ukusanyaji...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Kizimbani kwa kukwepa ushuru wa Sh97 milioni
Na BERNARDINE MUTANU Mamlaka ya Kukusanya Ushuru nchini (KRA) ilimshtaki ajenti mmoja wa forodhani kwa kukwepa kulipa ushuru wa thamani...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Lipa ushuru namna unavyomwaga pesa, Mudavadi amwambia Ruto
Na PETER MBURU UHASAMA wa kisiasa baina ya kiongozi ANC Musalia Mudavadi na naibu wa Rais William Ruto umezidi kutokota baada ya Bw...
- by adminleo
- November 7th, 2018
Wakurugenzi washtakiwa kukwepa kulipa ushuru wa Sh3 bilioni
Na RICHARD MUNGUTI WAKURUGENZI wawili wa kampuni moja wameshtakiwa kwa kukataa kulipa ushuru wa zaidi ya Sh3.2bilioni miaka miwili...
- by adminleo
- November 1st, 2018
Teknolojia mpya kunasa wakwepaji ushuru
Na BERNARDINE MUTANU Walipaji ushuru watafuatwa hata ndani ya nyumba zao katika hatua mpya ya kuwapata wakwepaji ushuru. KRA sasa imeanza...