• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:30 PM

Taharuki yatanda mpakani watu 3 wakiuawa

Na Oscar Kakai TAHARUKI imetanda katika mpaka wa Kaunti za Pokot Magharibi na Elgeyo Marakwet baada ya watu watatu kuuawa kwenye uvamizi...

Juhudi za kukabiliana na Al-Shabaab msituni Boni ziongezwe – Viongozi wa Lamu

[caption id="attachment_3981" align="aligncenter" width="800"] Mbunge wa Lamu Mashariki, Sharif Athman akiohijwa na Taifa Leo. Picha/...

Kambi za polisi zajengwa katika maeneo yanayolengwa na Al-Shabaab

NA KALUME KAZUNGU KAMBI za polisi zimebuniwa kwenye maeneo yote hatari ambayo awali yalikuwa yakishuhudia uvamizi wa mara kwa mara kutoka...

Wavuvi wa Kenya wavamiwa tena na polisi wa Uganda

Na KNA WAVUVI 20 wa Kenya walivamiwa Alhamisi usiku na kunyang’anywa taa zao zinazokadiriwa kuwa za thamani ya Sh70,000 na maafisa wa...

Waathiriwa wa uvamizi wateseka kimya vijijini

Na BONIFACE MWANIKI Kwa ufupi: Mateso aliyopitia  mikononi mwa Al shabaab na majeraha yamesababisha mabadiliko makubwa maishani...