• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 4:28 PM

Usimamizi wa Tusker sasa unakarabati uwanja wao wa Ruaraka

Na CHRIS ADUNGO WASIMAMIZI wa kikosi cha Tusker FC wameanza kuukarabati uwanja wao wa nyumbani wa Ruaraka baada ya soka ya humu nchini...

Shughuli za usafiri uwanja wa ndege wa Manda zarejelewa kama kawaida

Na KALUME KAZUNGU SHUGHULI za usafiri katika uwanja wa ndege wa Manda, Kaunti ya Lamu zimerejelewa kama kawaida baada ya uwanja huo wa...

‘Uwanja wa Baba Yara hauna hadhi ya kimataifa’

Na GEOFFREY ANENE UWANJA wa Baba Yara, ambao umekuwa ukitumiwa kwa mechi za kimataifa za Ghana si wa hadhi ya kimataifa, tovuti ya Ghana...

Kenya yakataa kuandaa AFCON 2019 kutokana na viwanja duni

Na GEOFFREY ANENE KENYA haitaomba kuandaa mashindano yoyote ya kimataifa ya soka hadi wakati viwanja vyake vitakapokuwa viko katika hali...

Uwanja wa ndege sasa wageuzwa malisho ya ng’ombe

Na OSCAR KAKAI UWANJA wa ndege wa Kishaunet ambao umetelekezwa kwa muda mrefu katika Kaunti ya Pokot Magharibi sasa umegeuzwa kuwa...

Uwanja wa JKIA watambuliwa kwa ubora Afrika

Na BERNARDINE MUTANU UWANJA wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) uliorodheshwa kama uliofanya vyema zaidi katika bara la...

Yabainika viwanja viwili vya ndege havina hati

Na LUCY KILALO MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (KAA) imeagizwa kufafanua ni vipi haina hatimiliki za ardhi ya Kiwanja cha Ndege cha Manda,...