• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Ruto, Raila kuvamia ngome ya Mudavadi juhudi za kumrai zikiendelea

Na DERICK LUVEGA NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga, wamepanga kuvamia ngome ya kiongozi wa chama cha Amani...

Wakazi Vihiga wakusanya saini kuvunja serikali ya kaunti

Na Derick Luvega MPANGO wa raia ambao huenda ukasababisha Kaunti ya Vihiga kuvunjiliwa mbali ulizinduliwa jana katika hatua ambayo...

Nisaidieni kukabili wanaomezea mate kiti changu, gavana awalilia madiwani

NA DERICK LUVEGA GAVANA wa Vihiga Dkt Wilber Ottichilo amewaagiza madiwani katika kaunti yake kutumia mikutano ya umma kumtetea dhidi ya...

AKILIMALI: Atia fora katika kilimo cha nyanya Vihiga

Na SAMMY WAWERU KATIKA kijiji cha Kedeta, Kisienya, Kaunti ya Vihiga, wakazi wengi wamekumbatia kilimo cha majanichai. Licha ya...

Mwanamke alilia polisi waachilie mume aliyenajisi binti yake

Na DERICK LUVEGA MWANAMKE mmoja alishangaza wakazi wa Kaunti ya Vihiga alipowalilia polisi wamwachilie mumewe aliyekamatwa na kuzuiliwa...

Kocha wa Vihiga awatia nari vijana wake kudhidhirisha makali yao ligini

Na CECIL ODONGO NAIBU Kocha wa Klabu ya Vihiga United Francis Xavier amewataka vijana wake kunyanyuka na kupigana kiume ili kupata ushindi...