• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Vijana wengi kuwania 2022 viti vyeo 2022

Na ALEX NDEGWA VIJANA WENGI SASA wamejitokeza kuwania viti vya uchaguzi kuelekea kura ya 2022, huku wakiwa na matumaini kwamba wenzao,...

Vijana wakaidi wazee 2022

Na BENSON MATHEKA SIASA za uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 zinapoendelea kupamba moto, wazee wa jamii mbalimbali wamekuwa wakijitokeza kutoa...

Wafalme wa kuhadaa vijana

Na LEONARD ONYANGO WANASIASA sasa wanatumia ahadi hewa kama chambo cha kunasa kura za vijana huku Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2022...

Serikali kutumia vijana na wanabodaboda kuendesha kampeni ya amani kuelekea 2022

Na CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia makundi ya vijana na waendeshaji bodaboda kuendesha mipango ya kudhibiti ghasia zinazohusiana na...

Vijana wataka vyuo vya kiufundi vianzishe masomo ya kidijitali

Na STEPHEN ODUOR VIJANA katika Kaunti ya Tana River, wametaka mafunzo ya kisasa yatolewe katika taasisi na vyuo vya kiufundi ili...

Nitawapa mashine za kisasa kuchapa kazi nikiingia Ikulu 2022, Raila aahidi vijana

Na SAMMY WAWERU DALILI kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kuwa debeni 2022 kuwania urais zinaendelea kudhihirika. Awali, Bw Raila...

Naibu Waziri aishangaa sekta ya matatu kunyima vijana nafasi za kazi

Na MWANGI MUIRURI Naibu Waziri wa Spoti, Utamaduni na Turathi za Kitaifa Bw Zack Kinuthia ameteta kuwa sekta ya magari ya uchukuzi wa...

Hazina za wanawake, vijana kuunganishwa

Na SIAGO CECE Serikali itaunganisha hazina tatu za Uwezo, Wanawake na Vijana kuwa moja na kuongezea pesa hazina mpya itakayobuniwa kwa...

Uhuru aenjoi vijana

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta, Jumatatu alionekana kuwachezea vijana akili kwa kuwaambia kuwa angeteua baadhi yao katika Baraza...

ONGAJI: Nani ataokoa maisha ya vijana?

Na PAULINE ONGAJI Kila unapotembea katika mitaa na miji mingi hapa nchini Kenya, huenda umekutana na vikundi vya vijana –wa kike na...

Ni wazi sasa ahadi za Jubilee kwa vijana zilikuwa hewa

Na SAMMY WAWERU Mei 2020 Rais Uhuru Kenyatta alipotangaza kuzindua mradi wa Kazi Mtaani ili kusaidia vijana wasio na kazi na ambao...

Gideon aweka mikakati kuteka nyoyo za vijana

Na FRANCIS MUREITHI SENETA wa Baringo Gideon Moi amebuni mbinu mpya ya kujivumisha kuwa Rais mnamo 2022, na wakati huo huo kuyeyusha...