Tag: waboni
Waboni walilia serikali watoto wapate elimu
Na KALUME KAZUNGU WAKAZI wa jamii ya Waboni wanaoishi vijiji vilivyo msitu wa Boni, Kaunti ya Lamu, sasa wanaitaka serikali kubuni kituo...
- by adminleo
- April 24th, 2019
Waboni 3,000 waonja utamu wa hati miliki
NA KALUME KAZUNGU JUMLA ya Waboni 3,232 kwa mara ya kwanza wamepata hatimiliki za ardhi zao miaka 56 baada ya uhuru wa nchi hii...
- by adminleo
- January 28th, 2019
Waboni wanavyotaabika kupata elimu ya chekechea
Na Kalume Kazungu MATUMAINI ya watoto wa jamii ya walio wachache ya Waboni kupata elimu yanazidi kufifia, kufuatia hatua ya hivi punde...
- by adminleo
- November 13th, 2018
Jamii yataka idhini kukeketa mabinti wao
Na Kalume Kazungu WAZEE wa jamii ya Waboni katika kaunti ya Lamu wanataka waruhusiwe kukeketa binti zao kama njia ya kukabiliana na...
- by adminleo
- September 19th, 2018
Waboni walia maisha magumu huenda yakaangamiza jamii yao
NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya Waboni, Kaunti ya Lamu, wanaitaka serikali ya kitaifa kufikiria kuangazia sekta nyingine muhimu za...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Waboni waitaka serikali iwajengee shule ya bweni
NA KALUME KAZUNGU JAMII ya Waboni sasa inaitaka serikali kubuni shule moja ya bweni itakayohudumia zaidi ya wanafunzi 400 kutoka vijiji...